Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

#siopovu
Ninacho kiona sasa ni kwamba kipara makulega bwana Guadiola ni over hyped coach ni kocha ambae watu wana mchukulia kama 50 cent ila ki uhalisia ni 20 pasenti.

Kwa team aliyo nayo Guadiola pamoja hata na injury angekua kocha mwenye huu ubora anao imbwa alikua sio mtu wa kupoteza game nje ndani kwa zaidi ya timu 3 msimu mmoja anapigwa ye anapigwa tu! Home anapigwa away.
Makocha ote wanao jitambua wamempiga nje ndani na mechi ya liverpool anaenda kubondwa tena,

Huyo kocha kweli? ana beki ghali zaidi uwanjani ,anakiungo bora EPL team ina kila kitu ile!
Hata ile baki ya kina benjamin mendy sio mbovu kama watu wanavyo itafsiri ni ubovu tu wa mbinu za kocha .

Guadiola ni kanjanja tu mmoja sema mjanja mjanja ana bustiwa na nguvu ya pesa za timu anazofundisha.

Ukimuangali clopp kafundisha timu ndogo kabisa(Mainz) mpaka Dortimund wanamchukua alitikisa sana Bundes liga tena na timu yenye bajeti ya bilinganya kwenye usaji

Same kwa dortimund ila alisumbua na UEFA mpaka fainali.
Hata liverpool anabeba UEFA na sasa PL wachezaji wake ni wakawaida ila kocha amefanya kazi yake ipasavyo na inaonekana.

Leo umpe guadiola wolvermpton,chelsea,Arseanal au spurs anazishusha daraja kabisa

Ni kocha wa kawaida sana

Mourinyo kachukua UEFA na Fc Porto hakuna alie kua anatarajia kaja kuitambulisha chelsea ambayo ilikua kama burley tu!

Guadiola ni kocha wakiwango cha kawaida sana hajafika hata kwa Ostadh Nuno Espenito wa wolvermpton.
#epl
#champion



Sema mzee pep bado kocha wa kiwango cha kawaida?
 
Aibu tupu [emoji23][emoji23][emoji23] hawezi tena kujibu
Hajui mpira huyu bwana ndio wale wachambhzi uchwara tuu....they dont even understand the theory ya mchezo wenyewe.

There are two types of coaches....makocha ambao wanashinda mataji mengi na kuna the next level of coaches ambayo unakutana na watu kama wakina pep, bielsa, sacchi.
The later ni revolutionaries....wanakufanya uufikirie mchezo kwa namna tofauti kabisa. The thot process yao sio tuu kushinda mechi na kuishi kuimba pira biriani au pira mpapaso hawa wanaangalia namna gani nitabadilisha tactics.

Mie nasemaga ukitaka kujua pep nyoko angalia mechi hizi tatu.

Club world cup final. Barcelona vs santos.

Man utd vs barcelona...babu fergie anatetema.

Man city vs napoli...champions league. Ile buildup play yake dhidi ya ultra offwnsive pressing ya napoli ikiwa cbini ya bwana sarri.
 
Kitu kizuri uwa akijifichi,kinaoneka mubashara kabisa.
Hajui mpira huyo. Ata fundamental theory za mchezo wenyewe hajui anabwabwaja tuu.

Huyu ndio wale oh ata mie ningepewa barcelona ile ya kina xavi iniesta messi ningeshinda mataji.

Ndio ungeshinda mataji lakini je ungecheza mpira ule uliokuwa unawekwa on display game after game.
 
Hajui mpira huyo. Ata fundamental theory za mchezo wenyewe hajui anabwabwaja tuu.

Huyu ndio wale oh ata mie ningepewa barcelona ile ya kina xavi iniesta messi ningeshinda mataji.

Ndio ungeshinda mataji lakini je ungecheza mpira ule uliokuwa unawekwa on display game after game.
Keshajijua kama ajui.
 
Hapa wanasubiri pep afungwe waje kutema shombo zao.... Ni chuki binafsi tu
 
Mleta uzi na wengine wasio jua soka walienda mbali na kusema kocha wa wolves ni bora kuliko Pep. Sasa mashabiki kama hawa si bora washabikie rede tu.
 
#siopovu
Ninacho kiona sasa ni kwamba kipara makulega bwana Guadiola ni over hyped coach ni kocha ambae watu wana mchukulia kama 50 cent ila ki uhalisia ni 20 pasenti.

Kwa team aliyo nayo Guadiola pamoja hata na injury angekua kocha mwenye huu ubora anao imbwa alikua sio mtu wa kupoteza game nje ndani kwa zaidi ya timu 3 msimu mmoja anapigwa ye anapigwa tu! Home anapigwa away.
Makocha ote wanao jitambua wamempiga nje ndani na mechi ya liverpool anaenda kubondwa tena,

Huyo kocha kweli? ana beki ghali zaidi uwanjani ,anakiungo bora EPL team ina kila kitu ile!
Hata ile baki ya kina benjamin mendy sio mbovu kama watu wanavyo itafsiri ni ubovu tu wa mbinu za kocha .

Guadiola ni kanjanja tu mmoja sema mjanja mjanja ana bustiwa na nguvu ya pesa za timu anazofundisha.

Ukimuangali clopp kafundisha timu ndogo kabisa(Mainz) mpaka Dortimund wanamchukua alitikisa sana Bundes liga tena na timu yenye bajeti ya bilinganya kwenye usaji

Same kwa dortimund ila alisumbua na UEFA mpaka fainali.
Hata liverpool anabeba UEFA na sasa PL wachezaji wake ni wakawaida ila kocha amefanya kazi yake ipasavyo na inaonekana.

Leo umpe guadiola wolvermpton,chelsea,Arseanal au spurs anazishusha daraja kabisa

Ni kocha wa kawaida sana

Mourinyo kachukua UEFA na Fc Porto hakuna alie kua anatarajia kaja kuitambulisha chelsea ambayo ilikua kama burley tu!

Guadiola ni kocha wakiwango cha kawaida sana hajafika hata kwa Ostadh Nuno Espenito wa wolvermpton.
#epl
#champion


Pole
IMG-20210503-WA0004.jpg
 
Pepsi kwenye ubora wake wa ukanjanja na janja janja za ukocha ....

Pepsi ni kocha wa kawaiiiidaaaaa mnooooooooo
 
Back
Top Bottom