"Pepo" la umasikini

Pole sana
 
Kweli duniani tumetofautiana sana.

Mimi kabisa ninunue jeans 50k.
 
Aise
 
Yaan Mimi na kamwili kamenona yaan...yaan mtu akiniona tu anajua ni mtu mwenye pesa basi Huwa nachukiaga....

Wananipandishia bei wakati mmm mwanauchumi wa demand & supply factor......

Ignorance of consumer nawakwepa..... 😊🤣🤣🤣😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…