Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Orodha ni kubwa.Vipi Ngono zembe?
Ni swala la mtu binafsi kujitambua na kuchukua hatua.
We fikiria imeandikwa UVUTAJI WA SIGARA NI HATARI KWA AFYA YAKO kwa maandishi makubwa
Ila mtu anenda kununua!