I salute u...!Kwani tumboni kuna jiko itachemka?imetengenezwa ili inywewe sio ichemshwee,,hata we ukichukua nguo yako uichome moto lazima iharibikee
Hahaha...ila up there [emoji115] ni pointless bana.Mi nakupa 100 una mipoint wewe
Pale ulitakiwa unielezee labda vitu vinavyoweka ambavyo vina athari labda sukarii nyingii,Hahaha...ila up there [emoji115] ni pointless bana.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Hiyo ni mimba ishaingia, fanya haraka uanze clinic.
Sasa obviously itakuwa na chemicals ambazo zinafanya iumuke na kuganda kama chuma.Pale ulitakiwa unielezee labda vitu vinavyoweka ambavyo vina athari labda sukarii nyingii,
Lakin eti uichukue uichemshe ,basi hata wali mbaya ukipikwa chukua uumwagie majivu kama utaula hahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23]usithubutu kukutwa na bwana pepsi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
DaahNiletee maji mengiii ya kilimanjaro utakuwa umeokoa afya yangu [emoji23][emoji23]
Kwani umeambiwa tumboni kuna jiko itaenda kuchemshwa.? hiyo ni change ya kawaida tu sababu umeamua kuidestroy kwa heatDinazade ukitaka kuifahamu pepsi vizuri hebu ichemshe ichemke kisha uiache ipoe uone maajabu.
Au nenda youtube katype
"What happens after boiling pepsi"
.
Poapoa,Sawaaaa ,bye kesho
Hiyo inaitwa alosto...Jamanii pepsi ina nini ,,ile ya 500 ,acha ile peps diet ile yenyewee jamani wameweka tuninii ,,nikiiona tu natamani kunywaa jamani,,leo nimejikaza siku nzima sijanywa naona siku ndefu wallah,,na tunaambiwa soda mbaya,chips mbaya,pombe mbayaa sasa hata pepsi mbaya jamanii
Mi naipenda kweli ina ladha fulan hivii amazing , au ina kilevii najiuliza maswali smaliziiii
Ni caffeine au cocaine?Coke na Pepsi ni zina kaCocain kadogo,