Pepsi ina nini?

Pepsi "Dare for more"

Mara ina sumu mara ina cocain mara hiv mara vle, swal ni..... Je Pepsi ndo ilimuua Kanumba? Je Pepsi ilmuua Mafisango? Je Pepsi ilmuua Filikunjombe? Jibu ni hapana, kwa wale mnaokunywa kunyweni for your own risk, mi cjui kwa nn nazchukia soda na hata kwa maombez cwez kunywa soda yyte ile
 
Hebu kunja mkono wako pale kwenye chongo ndio pepsi kama huamini kunja halafu mpige nayo mgongoni yoyote aliye karibu yako atasema umempiga pepsi
 
Sawaa tutakunywaa
 
Itakua wameongeza kiwango cha coke ndan il uwe 'mtawaliwa'
 
Kwani tumboni kuna jiko itachemka?imetengenezwa ili inywewe sio ichemshwee,,hata we ukichukua nguo yako uichome moto lazima iharibikee
Jibu mujarab kabisa, mtu anachemsha pepsi kwenye 100 degrees wakati joto la tumboni halifiki hata 40 degrees.. Hizi experiments nyingine hazina mashiko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…