Percy Muzi Tau awagomea Bafana Bafana kucheza mechi za kirafiki Ili kutunza nguvu za kuwaangamiza Simba tarehe 20/10/2023

Percy Muzi Tau awagomea Bafana Bafana kucheza mechi za kirafiki Ili kutunza nguvu za kuwaangamiza Simba tarehe 20/10/2023

Kilimbatz

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
4,331
Reaction score
5,865
Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi

Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy Muzi Tau,alipoulizwa na wachezaji wenzake sababu ya kutokwenda kutoa huduma yake timu ya Taifa,alijibu bila ya kupepesa macho kuwa:

"I am keeping my energy for Simba,the friendlies that my country is going to play are of no huge significance for the time being compared to our African League...I will just lie that I have patients to attend to and get away with it...I am going exterminate those Simbas"

Hivyo ndo kauli ya mnyetishaji iliyotoka kinywani mwa muuaji huyu.

Ushauri:
Benchi la Simba,pamoja na kuchimbia madawa uwanjani wajitahidi kuziba za ukuta wao wa Yeriko
20231010_192134.jpg
20231010_191111.jpg


Mabeki waandaliwe kisaikolojia,na wajengwe kuustahimili chenga za maudhi na Kasi ya Percy Muzi Tau

Aliye na nguvu kuliko mwenzie ndo ashinde

#Mpira Bila Mbereko Inawezekana
 
Hiyo kauli mbio yako nimeip3nda sana

#mpirabilamberekoinawezekana
Aahaaaaa pamoja mkuu

Mpira ungekuwa uchawi Sumbawanga wangeshapeleka timu Klabu Bingwa Afrika

Na kama mpira ungekuwa kuonga Azam ya Bakhresa ingeshacheza Klabu Bingwa Dunia
 
Simba ni tishio barani Africa kiasi cha kuwafanya Al ahly kuzuia wachezaji wao muhimu kutumikia timu zao za Taifa. Hivi unadhani kile kipigo walichopata horoya cha 7-0 wao hawaku kiona ? .. Simba inaogopeka sana Africa ndo maana timu kubwa kama Al ahly inachukua tahadhari mapema sana, nina uhakika mechi yao na Utopolo watapanga hata kikosi cha tatu na wataondoka na ushindi mnono dhidi ya vilaza hao wa Jangwani.
 
Mwambie na sisi huku tuna mshambuliaji wetu hatari sana! Anaitwa Captain John Rafael Bocco!! Huyo huwa anafunga magoli hata ya offside!!! Ni zaidi ya hatari!!

Yaani kwenye hizo mechi zao mbili watakazocheza, lazima aondoke na hat trick 2.
 
Simba ni tishio barani Africa kiasi cha kuwafanya Al ahly kuzuia wachezaji wao muhimu kutumikia timu zao za Taifa. Hivi unadhani kile kipigo walichopata horoya cha 7-0 wao hawaku kiona ? .. Simba inaogopeka sana Africa ndo maana timu kubwa kama Al ahly inachukua tahadhari mapema sana, nina uhakika mechi yao na Utopolo watapanga hata kikosi cha tatu na wataondoka na ushindi mnono dhidi ya vilaza hao wa Jangwani.
Mkuu unaninukuu vibaya

Percy Muzi Tau amekataa kujiunga na timu ya Taifa na siyo kinyume chake

Jadili hoja iliyo mezani

Btw,

#Mpira Bila Mbeleko inawezekana
 
Mwambie na sisi huku tuna mshambuliaji wetu hatari sana! Anaitwa Captain John Rafael Bocco!! Huyo huwa anafunga magoli hata ya offside!!! Ni zaidi ya hatari!!

Yaani kwenye hizo mechi zao mbili watakazocheza, lazima aondoke na hat trick 2.
Mkuu nitamfikishia ASAP
 
Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi

Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy Muzi Tau,alipoulizwa na wachezaji wenzake sababu ya kutokwenda kutoa huduma yake timu ya Taifa,alijibu bila ya kupepesa macho kuwa:

"I am keeping my energy for Simba,the friendlies that my country is going to play are of no huge significance for the time being compared to our African League...I will just lie that I have patients to attend to and get away with it...I am going exterminate those Simbas"

Hivyo ndo kauli ya mnyetishaji iliyotoka kinywani mwa muuaji huyu.

Ushauri:
Benchi la Simba,pamoja na kuchimbia madawa uwanjani wajitahidi kuziba za ukuta wao wa Yeriko
View attachment 2778006View attachment 2778007

Mabeki waandaliwe kisaikolojia,na wajengwe kuustahimili chenga za maudhi na Kasi ya Percy Muzi Tau

Aliye na nguvu kuliko mwenzie ndo ashinde

#Mpira Bila Mbereko Inawezekana
Kweli wenye akili kule ni wawili tu. Kupitia hii post yako we mwenyewe umethibitisha kuwa Simba ni timu kubwa sana kiasi cha Pecy Tau kuwa na tahadhari kubwa dhidi ya Simba. Ingekuwa anaenda kukutana na Uto angecheza friendlies hata kila baada ya siku 2.
 
Kweli wenye akili kule ni wawili tu. Kupitia hii post yako we mwenyewe umethibitisha kuwa Simba ni timu kubwa sana kiasi cha Pecy Tau kuwa na tahadhari kubwa dhidi ya Simba. Ingekuwa anaenda kukutana na Uto angecheza friendlies hata kila baada ya siku 2.
Usinilishe maneno

Yasome vizuri maneno ya Percy Muzi Tau
 
Ni wachezaji wote wa Al Ahly hawajaenda mechi za kimataifa badala yake wako kituo Cha jeshi la anga la Misri wakifanya mazoezi ya utimamu chini ya uangalizi mkuu wa Kambi hiyo
 
Ni wachezaji wote wa Al Ahly hawajaenda mechi za kimataifa badala yake wako kituo Cha jeshi la anga la Misri wakifanya mazoezi ya utimamu chini ya uangalizi mkuu wa Kambi hiyo
Yote ni kuja kumuua mnyama

Btw,mechi zenyewe za kimataifa hazina umuhimu wowote
 
Ili kuonyesha uchu aliyonao dhidi ya wekundu wa msimbazi mshambuliaji muuaji wa mashetani wekundu wa Misri ameamua kuikacha timu ya Taifa ya Afrika Kusini Ili kutunza nguvu za kuja kuwaadabisha wekundu wa msimbazi

Chanzo changu kilicho ndani ya timu ya Al Ahyl kimeninyetishia kuwa muuaji Percy Muzi Tau,alipoulizwa na wachezaji wenzake sababu ya kutokwenda kutoa huduma yake timu ya Taifa,alijibu bila ya kupepesa macho kuwa:

"I am keeping my energy for Simba,the friendlies that my country is going to play are of no huge significance for the time being compared to our African League...I will just lie that I have patients to attend to and get away with it...I am going exterminate those Simbas"

Hivyo ndo kauli ya mnyetishaji iliyotoka kinywani mwa muuaji huyu.

Ushauri:
Benchi la Simba,pamoja na kuchimbia madawa uwanjani wajitahidi kuziba za ukuta wao wa Yeriko
View attachment 2778006View attachment 2778007

Mabeki waandaliwe kisaikolojia,na wajengwe kuustahimili chenga za maudhi na Kasi ya Percy Muzi Tau

Aliye na nguvu kuliko mwenzie ndo ashinde

#Mpira Bila Mbereko Inawezekana
Bloangu unajua sana kujifariji,🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom