Huyo mchezaji hawezi kuja Simba na siyo Simba tu hawezi kucheza east and central Africa...hamna pesa ni mchezaji ghai Africa halafu mkamlaze Ramada hotel hahaaaSiyo kichekesho
Mhhhh..sidhaniBaada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Uwezo wa simba kumsajili huyu mchezaji Percy Tau, hamna. Na huu ndiyo ukweli mchungu. Kwanza msimu uliopita, alikuwa ni mchezaji tegemeo. Hivyo msijifariji na kulishana matango pori.Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Simba anawezwa kulipwa huyo niaminiPercy Tau hawezi kuja Tanzania hapa sizungumzii Simba Bali timu yoyote ya Tanzania, kwa mshahara anaolipwa.
Duh shabiki andazi weweHana jipya huyo
Mnawakuza tu Ila muarabu halipi ngoz nyeus pesa za maanaPercy Tau hawezi kuja Tanzania hapa sizungumzii Simba Bali timu yoyote ya Tanzania, kwa mshahara anaolipwa.
Nakazia hukumuHuyo mchezaji hawezi kuja Simba na siyo Simba tu hawezi kucheza east and central Africa...hamna pesa ni mchezaji ghai Africa halafu mkamlaze Ramada hotel hahaaa
Khama Billiat umri umemtupa! Lakini pia ni spana mkononi! Hivyo timu yoyote itakayomsajili, itakuwa imelamba garasa.Ni Khama Biliant kutoka Kaizer Chief, mpaka Sasa Kaizer hawajui alipo na akipigiwa simu hapokei! Penyenye zinasema ananukia msimbazi!
Unamjua lakiniHana jipya huyo
Alipwe na nani wakati Mudi kakata tamaaSimba anawezwa kulipwa huyo niamini