Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Miqson analipwa Mil 50 sio hela ya maana?Mnawakuza tu Ila muarabu halipi ngoz nyeus pesa za maana
Acheni kumkuza Sana kwanza wachezaji wengi wa kiafrica hawana furaha kuzichezea vilabu vya waarabu angalabu achezee kwa weusi of whch wengi huwa na amani
Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Usimkosee adabu tajiri kijana zaidi afrikaAlipwe na nani wakati Mudi kakata tamaa
Huyo siyo mchezaji wa kulipwa milioni mbili kwa mwezi. Manzoki si tuliambiwa anakuja msimu huu?Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Huamini eeehMhhh
Hata kidogo...wkt wa sajili hizi mambo huwa nyingiiHuamini eeeh
Labda watamsajili percy taulo but percy tau tunayemfahamu sisi labda wakawauze wanachama wao wote🤣🤣Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Majeruhi huyoNi Khama Biliant kutoka Kaizer Chief, mpaka Sasa Kaizer hawajui alipo na akipigiwa simu hapokei! Penyenye zinasema ananukia msimbazi!
Wadau kuna aliyemuona braza popoma???Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Au sio NungununguHana jipya huyo
Huyu ni comedian?Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Mpaka ww kolo mwenzakeNina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
Kama kumrudisha Konde boy tumeshindwa aje kuwa PercyMnawakuza tu Ila muarabu halipi ngoz nyeus pesa za maana
Acheni kumkuza Sana kwanza wachezaji wengi wa kiafrica hawana furaha kuzichezea vilabu vya waarabu angalabu achezee kwa weusi of whch wengi huwa na amani
Dah!aliyewaita makolo mbu3 aliona mbali sanaMnawakuza tu Ila muarabu halipi ngoz nyeus pesa za maana
Acheni kumkuza Sana kwanza wachezaji wengi wa kiafrica hawana furaha kuzichezea vilabu vya waarabu angalabu achezee kwa weusi of whch wengi huwa na amani
BannedWadau kuna aliyemuona braza popoma???
Amjui Tau uyo,hao ndio mashabiki fata upepo!Unamjua lakini