rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
million 90 kwa [pesa ya kitanzaniaMiqson analipwa Mil 50 sio hela ya maana?
Mmmh kama bhiliat aje simba kwa ofa ipi.?? Hii ni nearly impossibleNi Khama Biliant kutoka Kaizer Chief, mpaka Sasa Kaizer hawajui alipo na akipigiwa simu hapokei! Penyenye zinasema ananukia msimbazi!
Huu ni ukweli..hatuna pesa ya kumlipaUwezo wa simba kumsajili huyu mchezaji Percy Tau, hamna. Na huu ndiyo ukweli mchungu. Kwanza msimu uliopita, alikuwa ni mchezaji tegemeo. Hivyo msijifariji na kulishana matango pori.
Muddy muda wote analia hasara atamuweza Tau?Simba anawezwa kulipwa huyo niamini
Useme Africa mashariki na kati. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Percy Tau hawezi kuja Tanzania hapa sizungumzii Simba Bali timu yoyote ya Tanzania, kwa mshahara anaolipwa.
Hata Yanga huo uwezo hawana, na hata ukiwepo hawezi kubali, yeye anataka CAFCL na sio losersUwezo wa simba kumsajili huyu mchezaji Percy Tau, hamna. Na huu ndiyo ukweli mchungu. Kwanza msimu uliopita, alikuwa ni mchezaji tegemeo. Hivyo msijifariji na kulishana matango pori.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Tausi wa Bonyokwa.
Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.Ndiyo maana ni ngumu sana huyo jamaa kuja kusajiliwa huku. Huku ni kwa kina Doumbia, Sawadogo, na Kibwana.
Hata Aziz yanga walikuwa na bahati fulani hivi
Sema 5Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza kaisha labda iwe Kwa Mkopo ,huyo ni scrapper Kwa SasaBaada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Haloo nani mwenzangu?Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ulikula nn hii siku wewe?Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watakuwa wapumbavu sana iwapo wamemsajili huyo mchezaji.Natumai haitakuwa hivyoBaada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Manzoki all over again!Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Vipi yupo wapi hadi sasa hivi? Kumbe usajili ukikuwa ni wa Jobe.Ni Khama Biliant kutoka Kaizer Chief, mpaka Sasa Kaizer hawajui alipo na akipigiwa simu hapokei! Penyenye zinasema ananukia msimbazi!
Ni Jobe kumbe.We au unachanganya?
Tau au TATU?