towashi wa kushi
JF-Expert Member
- May 15, 2024
- 332
- 729
Unaendeleaje? Bado ni Kombe la looser au?Hata Yanga huo uwezo hawana, na hata ukiwepo hawezi kubali, yeye anataka CAFCL na sio losers
.Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yani kwa sababu ni wewe mwanamke basi wacha tukusamehe bure tu.Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Tunafagilia makaburi tu.Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Comment ilikaa Kihasibu hii.Sasa Aziz ki ana kipii cha maana?? Angekua na uwezo si angeenda hata Raja au Wydad, mwenzake Konate kaenda Arabia huko.
Aziz mwenyewee hata utopoloo wamemchokaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada ulikwendega wapij VIP maumivu yako kwa Sasa unayo yapitia msiku mzima umeambulia kikombe Cha muunganoMhhh
Mangungu ulitudanganya kuhusu Manzoki tena kwenye uchaguzi mkuu tukakubali,sasa una kuja na Percy Tau sawa sisi ni mbumbumbu ila kwa hili bakora zinakuhusu.Baada ya Try Again kukiri kushirikiana na Mo Dewji kumsajili mchezaji mkubwa kutoka klabu kubwa fununu zilizopo huyo mchezaji ni raia wa Afrika Kusini anayekipiga Alhly ya Misri
Hongera Simba
View attachment 2686083
Nipo.ndo nimerudi...Dada ulikwendega wapij VIP maumivu yako kwa Sasa unayo yapitia msiku mzima umeambulia kikombe Cha muungano