Perfect Chikwende: What a waste!

Perfect Chikwende: What a waste!

Mario Kejob

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
441
Reaction score
536
Hivi unakwenda kumnunua mchezaji wa kigeni kwa gharama kubwa na matokeo yake ni kumtupa bench kali bila hata kumpa game time!

Kitendo hichi kinatoa image mbaya sana kwa club yetu na baadae tutakosa wachezaji kutokana na mtindo huu usiofaa na unaoua vipaji vya wachezaji.

Sven alikuwa anajaribu kuwapa wachezaji karibia wote game time lakini huyu Gomes ame-stick na wachezaji wachache tu kama nusu hivi ya timu na wengine wote kuozea bench.

Amme alicheza mechi ya Plateu kule Nigeria Ndemla alicheza mechi ya Platinum kule Zimbabwe. Cha ajabu kwa kocha huyu hata dakika kumi za mechi ya Mwadui Amme hapangwi. Kwa maana hiyo basi Simba haihitaji wachezaji 30 kwani huwatumia nusu tu ya hao wachezaji na wengine wote waliobakia huozea benchini na hivyo vipaji vyao kufa.

Tunamuasa Gomes aache mtindo huu na aige alichokuwa anakifanya Sven.
 
Shidah gomez anataka kutimiza mambo ya kwenye mkataba wake ili apate bonas yake virabu vya wezentu uwa kunakipengele cha kuvumbua kipaji cha wachezaj 2 au moja kutoka kweny Team b sasa yeye kambiw apate ligi afike robo caf na achukue fa bsi
 
Tatizo chikwende hata akipewa nafasi.

Hupati sababu ya next game kumuanzisha.

Anahezea mpira kama shibob tu lakini effect yake kwenye goal haipo

Anapata nafasi za kufunga au kutoa pass ya goal mdo kwanza ana turn.

Nani atamvumilia? Why asicheze kama alivokua anacheza national team?
 
Hivi unakwenda kumnunua mchezaji wa kigeni kwa gharama kubwa na matokeo yake ni kumtupa bench kali bila hata kumpa game time!.....
Yanga wamekuwa wakichezesha wachezaji tofauti kila wakati na haijawasaidia kubeba kombe.

Mchezaji kisajiliwa ni jambo moja na kuoata nafasi ya kucheza ni juhudi binafsi za kujituma.

Huwezi kuweka wachezaji wanaokupa matokeo benchi ili tu mchezaji fulani acheze.
 
Kwa hivi sasa Kocha wa Simba SC Gomez yupo katika Presha na Kipaumbele chake ni Ubingwa wa VPL na ASFC.

Anachokifanya Kocha wa Simba SC Gomez kwa sasa siyo Kujaribu Wachezaji kwa kuwa hiyo 'game time' unayoisema bali 'he means business' hivyo anapanga Kikosi cha kumpa Matokeo mpaka Malengo yake yatimie na yanaonyesha Kutimia.

Hao (hawa) Wachezaji wako wengine akina Chikwende na Ame wataanza Kupangwa Mechi zijazo pale tu Simba SC ikiwa imeshachukua Ubingwa wa VPL.

Halafu mkubwa kuja Kumlaumu Kocha Gomez kwanini hawapangi hawa Wachezaji wako. Hivi wangekuwa wanajituma, wanasikiliza Maelekezo yake na Kumfurahisha katika 'Training Ground' angeacha Kuwapanga?

Ushindani wa namba Simba SC ni mkubwa sana hivyo Ufanisi wao Mazoezini au pale wanapopewa nafasi ya Kucheza ukiwa mzuri wataaniwa na kuanza Kupangwa? Mbona wapo 'Mastaa' wengi tu hapo Simba SC ila hawapati nafasi na hujawasemea ila umekuja tu kuwasemea akina Chikwende na Ame pekee?

Kama unawapenda sana anzisha Timu yako, kawanunue Simba SC ili uwatumie na wakupe Matokeo ila kwa Simba SC hii ya Profesa Didier Gomez Da Rosa Kiwango na Uwezo Kwanza kisha Urafiki na Kujuana baadae.
 
Hakuna utani kila mechi ni fainali kwa Gomes
 
Hivi unakwenda kumnunua mchezaji wa kigeni kwa gharama kubwa na matokeo yake ni kumtupa bench kali bila hata kumpa game time!

Kitendo hichi kinatoa image mbaya sana kwa club yetu na baadae tutakosa wachezaji kutokana na mtindo huu usiofaa na unaoua vipaji vya wachezaji.

Sven alikuwa anajaribu kuwapa wachezaji karibia wote game time lakini huyu Gomes ame-stick na wachezaji wachache tu kama nusu hivi ya timu na wengine wote kuozea bench.

Amme alicheza mechi ya Plateu kule Nigeria Ndemla alicheza mechi ya Platinum kule Zimbabwe. Cha ajabu kwa kocha huyu hata dakika kumi za mechi ya Mwadui Amme hapangwi. Kwa maana hiyo basi Simba haihitaji wachezaji 30 kwani huwatumia nusu tu ya hao wachezaji na wengine wote waliobakia huozea benchini na hivyo vipaji vyao kufa.

Tunamuasa Gomes aache mtindo huu na aige alichokuwa anakifanya Sven.



mambo ya mpira hayo.. walau simba wanaweza wakasema walifanya hivyo kama kujilinda na figisu za corona si unajua Mashindano ya CaF yalilikuwa na figisu.. anyway Chikwende kimtazamo hasara yake haitakuwa sawa na yule sijui Monziz wa Azam au kina fiston wa yanga..

maan wame prove failure... bora Chikwende anaweza kusema hakupewa nafasi ila hao wengine iko wazi msimu ujao out
 
Kwa hivi sasa Kocha wa Simba SC Gomez yupo katika Presha na Kipaumbele chake ni Ubingwa wa VPL na ASFC.

Anachokifanya Kocha wa Simba SC Gomez kwa sasa siyo Kujaribu Wachezaji kwa kuwa hiyo 'game time' unayoisema bali 'he means business' hivyo anapanga Kikosi cha kumpa Matokeo mpaka Malengo yake yatimie na yanaonyesha Kutimia.

Hao (hawa) Wachezaji wako wengine akina Chikwende na Ame wataanza Kupangwa Mechi zijazo pale tu Simba SC ikiwa imeshachukua Ubingwa wa VPL.

Halafu mkubwa kuja Kumlaumu Kocha Gomez kwanini hawapangi hawa Wachezaji wako. Hivi wangekuwa wanajituma, wanasikiliza Maelekezo yake na Kumfurahisha katika 'Training Ground' angeacha Kuwapanga?

Ushindani wa namba Simba SC ni mkubwa sana hivyo Ufanisi wao Mazoezini au pale wanapopewa nafasi ya Kucheza ukiwa mzuri wataaniwa na kuanza Kupangwa? Mbona wapo 'Mastaa' wengi tu hapo Simba SC ila hawapati nafasi na hujawasemea ila umekuja tu kuwasemea akina Chikwende na Ame pekee?

Kama unawapenda sana anzisha Timu yako, kawanunue Simba SC ili uwatumie na wakupe Matokeo ila kwa Simba SC hii ya Profesa Didier Gomez Da Rosa Kiwango na Uwezo Kwanza kisha Urafiki na Kujuana baadae.
umeongea point
 
Shida yenuusajiri wenu mwingi nikumuhofia Yanga hata hili mlipata hofu kubwa kama yanga wangeweza kumchukua mkaona bora mumuwahi nyie...yaani full kukurupuka!
 
Mmemsahau Junior sijui Lukosa na believe wa mpira wote walisajiliwa dirisha dogo! Hawa hata mazoezini wabakaa bench!
Pesa ya mfadhili inatumbuliwa tu!
 
Ngoja tumuwahi maana Yanga wasije wakamuwahi kwa kuwa alikiwasha sana tulipocheza nao.
 
Back
Top Bottom