Performance gani ya mtoto kwenye movie ulikubali sana?

Performance gani ya mtoto kwenye movie ulikubali sana?

Kuna madogo wako kwenye movie inaitwa PENINSULA ni hatari sana hasa yule anaendesha gari
Wale madogo walitisha sana, japo starring aliona aibu akikumbuka alivyowaacha mwanzoni mwa matatizo.
Dogo wa Beast of no nation!!! Aguu!!

Aliua mule!!!
Na yule mwenzie walieenda kuwauzia Tv tupu walinda amani akawa anaigiza yuko ndani ya Tv [emoji23]


Kuna yule dogo ameigiza A QUIET PLACE kwenye part 2 kuna mahala alikanyaga mtego ukamnasa aisee yule mtoto alilia kwa uchungu mpaka we mtazamaji unausikia
 
Wale madogo walitisha sana, japo starring aliona aibu akikumbuka alivyowaacha mwanzoni mwa matatizo.Na yule mwenzie walieenda kuwauzia Tv tupu walinda amani akawa anaigiza yuko ndani ya Tv [emoji23]


Kuna yule dogo ameigiza A QUIET PLACE kwenye part 2 kuna mahala alikanyaga mtego ukamnasa aisee yule mtoto alilia kwa uchungu mpaka we mtazamaji unausikia
Ila hii quiet place part 2 naona kuna uigizaji mbovu mwingi sana. Kikiwemo kilio cha huyo dogo. Alilia sana aisee😀😀😀 hadi uhalisia ulipotea.
 
Kuna wale madogo wa bush men[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] waliokuwa wanatwangana na chupa ya koka
 
Ila hii quiet place part 2 naona kuna uigizaji mbovu mwingi sana. Kikiwemo kilio cha huyo dogo. Alilia sana aisee[emoji3][emoji3][emoji3] hadi uhalisia ulipotea.
Macho yako tu.
ila ina uigizaji mzuri pengine kuliko ya kwanza, uhalisia unapoteaje [emoji2][emoji2][emoji2]??? yule dogo alilia kwa uhalisia kabisa kilio cha maumivu na kukata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Macho yako tu.
ila ina uigizaji mzuri pengine kuliko ya kwanza, uhalisia unapoteaje [emoji2][emoji2][emoji2]??? yule dogo alilia kwa uhalisia kabisa kilio cha maumivu na kukata tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Naona kama kalikuwa kanakuza reactions. Mfano kile kilio na pale sehemu kalikutana na maiti ya kakapiga yowe.
 
Naona kama kalikuwa kanakuza reactions. Mfano kile kilio na pale sehemu kalikutana na maiti ya kakapiga yowe.
Yule ni mtoto bwana lazima utambue hilo, pia ana igiza kana kwamba hajui kitakachotokea mbele yake.. Kwa rika kamaa lake la utoto kuona maiti ni kitu cha kuogofya mno, tena maiti yenyewe imekaa mpaka inatisha, usisahau pia maisha wanayoishi yamegubikwa na hofu saa zote wanahofia uhai wao.

waswahili husema ukiumwa na nyoka ukiona jani unashtuka!! Yule mtoto ameigiza perfect kabisa kabisa yani
 
Mimi namkubali sana huyu mtoto kwenye hii muvi DON'T LOCK ME DOWN 2021
 

Attachments

  • Like_6993425345836567214_001.mp4
    7.4 MB
Chakolii ya Udaan wakiwa na Daram Raj mahia Vancy
 
Dakota fanning kwenye movie ya tom cruise ya war of the worlds iliyotoka way back 2005 hakika aliitendea haki nafasi ile
Screenshot_20210810-135808.jpg
 
Ila hii quiet place part 2 naona kuna uigizaji mbovu mwingi sana. Kikiwemo kilio cha huyo dogo. Alilia sana aisee😀😀😀 hadi uhalisia ulipotea.
Acha kuongea masikhara mkuu,hivi unaujua uchungu wa ule mtego??Ukishawahi sikia mlio anaotoa simba akinaswa bahati mbaya na ule mtego!???
 
kusema ukweli mkuu atakua hanaga hisia mpaka hajamfeel huyu mtotoView attachment 1887326

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale ameact kama Tom wa Tom and Jerry. Tom kibanwa na mtego kama ule utatulia kwanza, akiona ndiyo kilio kinaanza. Unakuta yupo hewani ila hajui kama yupo hewani, akitazama chini ndiyo anaanza kulia kwa sauti. Ile movie mi kwa ujumla niliona wanaigiza chini ya kiwango. Yule black naye wakujidai busara😀😀.

Ila ile ya kwanza ilikuwa poa sana, sijui sababu mwenye kazi yake alikuwa ndani?
 
Pale ameact kama Tom wa Tom and Jerry. Tom kibanwa na mtego kama ule utatulia kwanza, akiona ndiyo kilio kinaanza. Unakuta yupo hewani ila hajui kama yupo hewani, akitazama chini ndiyo anaanza kulia kwa sauti. Ile movie mi kwa ujumla niliona wanaigiza chini ya kiwango. Yule black naye wakujidai busara[emoji3][emoji3].

Ila ile ya kwanza ilikuwa poa sana, sijui sababu mwenye kazi yake alikuwa ndani?
umeshinda mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom