Perfume anazotangaza Haji Manara zitakuwa na Harufu Gani? Au ni dawa ya Mbu?

Tumeshakusamehe, tunakuombea upone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usimtetee kisa ualbino. Haina uhusiano kbs hio. Angekua muungwana angefunga mdomo kwa huo ualbino wake. Yaani yeye akikashifi wengine iwe sawa ila yeye akipewa za uso ionekane albino ananyanyapaliwa. Hapana za uso atapewa tu regardless of his albinism
Akitangaza perfume daimondi poa ila Haji kisa ni 'albino' unamtolea maneno ya shombo na kusema hana mvuto.

Heri yako wewe mwenye mvuto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sontable nakuangalia tu naona Komeo Lachuma katika ubora wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe fisi jike. Yeye alitangaza parfume wewe nyumba yake ndogo unakuja kujishaua hapa na kanga moko.

Watu bhana. Zile sio pafyum, ni sun screen lotion zinazozuia mionzi ya jua kwa watu wenye ualbino. Haji ameanzisha NGO inayosupport people with albism. Na sio biashara, kenge wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, nimecheka sana. Umeua kabisa.
 
Ni kweli mkuu jamaa siyo smart upstairs ni bwatubwatu tu... Unadhani hayo manukato sijui lotion itakuwa na harufu nzuri? Itakuwa hovyo tu.mi nashauri haji manara atengeneze sumu ya mende ndo itauza
Mkuu, nimecheka sana. Umeua kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…