Perfume anazotangaza Haji Manara zitakuwa na Harufu Gani? Au ni dawa ya Mbu?

Perfume anazotangaza Haji Manara zitakuwa na Harufu Gani? Au ni dawa ya Mbu?

Au club imemchoka domo lake katemwa kwenye safari
Yote yanawezekana maana anapoongea huwa anaacha akili zake home pale anakuwa na bichwa tupu wakati mwingine huwa nawaza huenda akawa ni mlemavu wa fikra pia
 
Yanga bhana yote hii mawivu watembeza bakuli hakuna hata mmoja mwenye mafuta ya mgando mnakuja kunya hapa mwenzio anapaa tuu nyie roho ya korosho mnazidi kuumia
 
Wanasema ana tangaza perfume.sijajua nani kamshauri lakini najua imeingia choo cha kike tena cha stand iliyo na kilabu cha pombe za kienyeji. Hawajui watanzania huyu.

Hakuna mtanzania mwenye uwezo ambaye atanunua perfume za haji manara. Labda atengeneze za buku buku akauze tandale,manzese, vingunguti,mbagala,buguruni,temeke n.k

Jamaa alivyo na mdomo mchafu hiyo perfume yake itakuwa na harufu gani?si bora angekuwa anatangaza dawa ya kuulia mbu na wadudu wengine hapo tungenunua kwa kuwa na uhakika kuwa itaua.

Kwa marashi hapo simuungi mkono.hayatakuwa na harufu nzuri.yatakosa kabisa mvuto kwa sisi wapenzi wa perfume maana yeye mwenyewe hana mvuto hata kidogo.

Labda wanasimba wataamua kumuunga mkono sababu ni bwatulio wao.
Haji Manara muhuni sa.Alichowafanya Maccm Mungu anajua sasa kaja Mkorogo wa kimkia mkiaaaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
51351C8B-AD45-4C63-BE4A-AB0AE62C6FD9-1925-0000007270BE4B08.jpg


Ipate hii kwa

Tshs 260,000 tu.

Popote ulipo unaipata,
Hata mkoani.

Njoo inbox.
 
Akitangaza perfume daimondi poa ila Haji kisa ni 'albino' unamtolea maneno ya shombo na kusema hana mvuto.

Heri yako wewe mwenye mvuto.
Niliwah kushauri kuwa ni Bora kunyamaza kuliko kuongea ujinga, mtoanmada kampinga haji kwa kigezo Cha uropokaji wa haji wewe ualibinonumeutoa wapi?
 
Back
Top Bottom