Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha tena amesema au mwakamwezi mmoja ? real
em acha utani jombaa wenzako wanawaza namna ya kutafuta pesa na kuweka mambo sawa we unawaza pafyum......Looh umenichosha kabisa[emoji27] [emoji27]Naomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
Kuna siku nilikutana na diamond pale makumbusho kiukweli huyu superstar anatumia hizo anazozitaka mtoa Maada. Zinauzwa laki mbili tu na nusuNaomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
Tafuta perfume moja inayoitwa COBRANaomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
Nunua isymiak ya buku 4 kwa wanaume Kali kichzi
Mavi perfume.Naomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
Mhh hiyo nguo haifuliwi itakuwa inawekwa kwenye maji na kutolewa kwa hizi perfume zetu za 30 mpaka 40 sahau labda ukanunue zile za 180, 000 kuendeleaIpo mbona mimi natumia emotion hata ukifua nguo n uzivae bila kupuliza bado inanukia tuu
Inapendwa sana na vile viumbe visivyoonekanaSiiipendi kaa nini yaani mtu akikupita tuu mita 500 unaisikia na bado harufu inabaki mtaa mzima
Nenda pale Muhimbili ward no 29 wakupatie zile wanawekea marehemuNaomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
bei zake shingap??mkuuIpo mkuu jaribu kutumia kitu inaitwa Drakkar Noir by Guy Laroche au Safari by Ralph Lauren,hata ukifua bado harufu inabakia
hatari sana hiyo kitu212 for men
Wewe naona unataka majini sio perfumeNaomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara
perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu