Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

Perfume kali kupitiliza ni utanashati au ulimbukeni?

Sibora angejinyunyiza harufu za kueleweka.

mara nyingi expensive perfumes huwa hazikereketi koo na watumiaji wake ni wastaarabu, wanatumia moderately, mpaka umsogelee ndo unasikia a sexy aroma. lakini watumiaji wa zile za kusagula ndo wanafanyaga kufuru.
 
ni kutaka kujionesha kwamba una pesa nyingi zizokufanya kustaarabika.
 
unachopenda wewe usilazimishe na wengine wakipende
Umeongea vizuri sana..Ni kama upanga ukatao kuwili.. The same goes to you kama unapenda perfume light usilazimishe na wenziOo wazipende..
Suala ni moja tu..WE WILL NEVER BE THE SAME..TUVUMILIANE..
 
halafu unakuta ni mwanaume,
wanaume wengine wanajifukiza na udi jamani..loh kizazi hiki cha dot com ...mmmh
kuweni simple kama my sweet baby!

Mbona avatar yako ni ya dot com?
 
Hivi tatizo ni mjipuliziaji au mtengenezaji? Halafu mimi naona ni tatizo la kiafya la huyo mlalamikaji - kapime allergy, yaani lazima utakuwa na allergy.

Nenda kashitaki TFDA ili mtengenezaji afunguliwe mashitaka!!!!
 
Halafu ni ushoga mwanamume rijali kujipulizia perfume hizi ni za kina dada/mama sisi wanaume tunatumia Eau de toilette ambayo ni lightly scented perfume.
 
Na inakera zaidi jitu kubwa zima tena Mwanaume linajipulizia Perfume ya maiti, kwakweli juzi nusura nitapike kwa harufu ya hiyo perfume aliyojipulizia mshamba mmoja ambaye nilikuwa nimekaa naye jirani.
 
Umeongea vizuri sana..Ni kama upanga ukatao kuwili.. The same goes to you kama unapenda perfume light usilazimishe na wenziOo wazipende..
Suala ni moja tu..WE WILL NEVER BE THE SAME..TUVUMILIANE..

Hivi tatizo ni mjipuliziaji au mtengenezaji? Halafu mimi naona ni tatizo la kiafya la huyo mlalamikaji - kapime allergy, yaani lazima utakuwa na allergy.

Nenda kashitaki TFDA ili mtengenezaji afunguliwe mashitaka!!!!
Badly hamjui hata mlisemalo.
 
Ukute hata watumiaji wenyewe wanalalamika hapa...hii nchi bwana unafiki unafiki tu..na kila mtu kujifanya anajua..
Mmoja kasema eti mwanaume kupaka pefume ni ushoga...my foot...nje ya keyboard utamkuta kapigilia unyunyu..
Hapa ninachokiona nadhani tuelimishane tu...mambo mengi wengi wetu tumeyakuta ukubwani..(kule vjjn kuna cologne?)
Tuache kuwaita watumiaji majina mabaya like ulimbukeni, washamba, mijitu and the likes...wote tungekuwa na adabu tunazozisema humu wala tusingekuwa tunagombea daladala hadi kupitia madirishani...most of us are still ignorant to some of the issues...
 
Umeongea vizuri sana..Ni kama upanga ukatao kuwili.. The same goes to you kama unapenda perfume light usilazimishe na wenziOo wazipende..
Suala ni moja tu..WE WILL NEVER BE THE SAME..TUVUMILIANE..

u dont understand. its ur perfume na ibaki kuwa yako. mtu anajipulizia perfume ukikaa naye dakika mbili, nawe unatoka hapo unanukia utafikiri nawe umepulizia perfume yake.
 
Hivi tatizo ni mjipuliziaji au mtengenezaji? Halafu mimi naona ni tatizo la kiafya la huyo mlalamikaji - kapime allergy, yaani lazima utakuwa na allergy.

Nenda kashitaki TFDA ili mtengenezaji afunguliwe mashitaka!!!!

wewe nawe ni wale wale...tatizo ni mnunuaji sio mtengenezaji. kwa kuwa sumu zinauzwa utaenda kununua unywe? na je utamshtaki mtengeneza sumu?
 
Ukute hata watumiaji wenyewe wanalalamika hapa...hii nchi bwana unafiki unafiki tu..na kila mtu kujifanya anajua..
Mmoja kasema eti mwanaume kupaka pefume ni ushoga...my foot...nje ya keyboard utamkuta kapigilia unyunyu..
Hapa ninachokiona nadhani tuelimishane tu...mambo mengi wengi wetu tumeyakuta ukubwani..(kule vjjn kuna cologne?)
Tuache kuwaita watumiaji majina mabaya like ulimbukeni, washamba, mijitu and the likes...wote tungekuwa na adabu tunazozisema humu wala tusingekuwa tunagombea daladala hadi kupitia madirishani...most of us are still ignorant to some of the issues...

kama hujui nature ya kitu bora ukiache. sasa mtu anajipulizia ya maiti kweli inakuja?
 
Badly hamjui hata mlisemalo.
Wewe ndo hujui usemalo..tatizo lenu mnataka kulazimisha watu kufanya mtakayo in the name of modernization mkiwaita wenzenu washamba.
Kwa taarifa yako mimi hata nikijipulizia perfum nasikia kutapika.Labda iwe very light tena yenye harufu ya matunda. Lakni siwezi lazimisha mtu awe kama mimi
 
u dont understand. its ur perfume na ibaki kuwa yako. mtu anajipulizia perfume ukikaa naye dakika mbili, nawe unatoka hapo unanukia utafikiri nawe umepulizia perfume yake.
queeny kwa hiyo ulitaka mtu ajipulize perfume halafu ajifungie chumbani? Acheni hizo wapeni watu uhuru wao as long as havunji sheria na haki za binadamu.Dunia ni ya wote

Ukute hata watumiaji wenyewe wanalalamika hapa...hii nchi bwana unafiki unafiki tu..na kila mtu kujifanya anajua..
Mmoja kasema eti mwanaume kupaka pefume ni ushoga...my foot...nje ya keyboard utamkuta kapigilia unyunyu..
Hapa ninachokiona nadhani tuelimishane tu...mambo mengi wengi wetu tumeyakuta ukubwani..(kule vjjn kuna cologne?)
Tuache kuwaita watumiaji majina mabaya like ulimbukeni, washamba, mijitu and the likes...wote tungekuwa na adabu tunazozisema humu wala tusingekuwa tunagombea daladala hadi kupitia madirishani...most of us are still ignorant to some of the issues...
Like like like!!!
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu alizaliwa anajua?
Hata wewe kujua hii perfume ni ya maiti si ulielekezwa?
Ukimkuta kajipulizia ya maiti na wewe mwelekeze....remember ignorance is bliss!!


kama hujui nature ya kitu bora ukiache. sasa mtu anajipulizia ya maiti kweli inakuja?
 
Wewe ndo hujui usemalo..tatizo lenu mnataka kulazimisha watu kufanya mtakayo in the name of modernization mkiwaita wenzenu washamba.
Kwa taarifa yako mimi hata nikijipulizia perfum nasikia kutapika.Labda iwe very light tena yenye harufu ya matunda. Lakni siwezi lazimisha mtu awe kama mimi
Si lazima kujipulizia perfume, unaweza kuogea sabuni kama Protex Herbal inatosha au sabuni nyingine inaitwa Breeze. cha msingi utakiwi kunuka kama beberu.
 
Back
Top Bottom