Perfume zenye harufu nzuri kwa maoni yangu

Perfume zenye harufu nzuri kwa maoni yangu

monotheist

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
830
Reaction score
1,449
Mimi nina allergy na perfume nikitumia huwa napata mafua makali na kichwa kinauma baada ya kupata kazi karibu na duka la perfume nikawa nafanya utafiti perfume zipi ambazo zitanifaa

Hizi ni miongoni mwa perfume ambazo harufu yake imepoa sana na zinanukia vizuri si kali na nikizitumia huwa haziniletei mafua wala kichwa kuuma
 

Attachments

  • PXL_20240624_100213783.MV.jpg
    PXL_20240624_100213783.MV.jpg
    6.2 MB · Views: 38
  • PXL_20240624_091618028.MV.jpg
    PXL_20240624_091618028.MV.jpg
    9 MB · Views: 36
  • PXL_20240624_093240398.jpg
    PXL_20240624_093240398.jpg
    1.7 MB · Views: 36
  • 17192142528523277465057221057407.jpg
    17192142528523277465057221057407.jpg
    1.2 MB · Views: 38
Na ukitaka upate harufu nzuri zaidi kati ya hizo nilizopost uchanganye na hii pichani aisee ukipanda kwa daradara kila abiria atatamani akae na wewe
PXL_20240624_094618128.jpg
 
Sema umepata kazi kwenye Duka la Perfume,sio kusema eti umepata kazi karibu na dula la perfume,

Ila tangazo limeeleweka mkuu.
 
Amepata kazi karibu na duka mkuu yaani anamaanisha yeye ni winga kwenye hilo duka
Ningepata kazi kwenye hilo duka si ningelinga hilo duka ni la mzungu lipo pale terminal 3 ghorofa ya 3 na wafanyakazi hapo wanalipwa vizuri sana ni DUTY FREE
 
Ningepata kazi kwenye hilo duka si ningelinga hilo duka ni la mzungu lipo pale terminal 3 ghorofa ya 3 na wafanyakazi hapo wanalipwa vizuri sana ni DUTY FREE

Yaani ungeringa kufanya kazi kwenye duka la mwanaume mwenzio [emoji28]
 
Back
Top Bottom