Perry is back.

Status
Not open for further replies.
Sasa hili si jukwaa la elimu! MODS peleka kwenye jukwaa la UTANI NA UDAKU huko!fyuuuu.....
 
Hii ni post ya mwisho kukujibu mi si mtoto mwenzio kama unataka ligi hapa umefika ahsante.

ungejua unaongea na mtu anayeweza kukulisha wewe,hawara yako,baba yako,mama yako,na huyu unayemwona boss wako!!
 
na we hauna kazi za kufanya huko uliko au,maana ni muda wa kazi huu?

ile ban haijakutosha??? kwa mbali bado una vichembechembe vya zamani badilika bwana.kwani ofisini mda wote huwa tunafanya kazi??
 
Hivi nyie vichaa mnatokea wapi hapa Tanzania.

Mkuu waache dawa yao kupuuzwa MTU mzima si rahisi kufanya huo upuuzi kubishana nao ni kuwapa bichwa na kupoteza mda max atashughulika nao kuna mmoja wao ndo yule alieleta thread ya mpigamsuli kwa ID nyingine sasa tulia wakubwa tufanye yetu kama wameingia JF kuleta ligi watakwisha.
 
ile ban haijakutosha??? kwa mbali bado una vichembechembe vya zamani badilika bwana.kwani ofisini mda wote huwa tunafanya kazi??

huo muda wa bure unaoupata hapo ofisin kwenu unaonaje ukiutumia kwa kufanya kazi za ziada ili uongeze kipato chako kuliko kupoteza muda humu jf kupigizana kelele na mtu usiyemjua hata?
 
ile ban haijakutosha??? kwa mbali bado una vichembechembe vya zamani badilika bwana.kwani ofisini mda wote huwa tunafanya kazi??

Mkuu naomba tupuuzie wafukuze upepo kubishana nao ni kuwapa airtime mwachie max ashughulike nao tutamtumia waraka maalum ID zao nyingi nyingi zote zishaunganishwa so stay cool
 

we endelea na maisha yako tu kijana,usiwaze kuhusu mimi.
 
we endelea na maisha yako tu kijana,usiwaze kuhusu mimi.

Mi siwazi hata...

Huu mtindo wa kuanzisha ligi za kijinga si mzuri hasa huyo anayeita watu mbebez now kuna teknolojia ya Ku track IP address mi sasa hivi sijibishani na punguani akileta matusi tutamalizana kitaa...
 
Kuna mwingine kati yao ndo yule senator001 aliyemuumbua mpigamsuli full data zake zipo tutafagia tu hapa kama wanapenda ligi waacheni....
 
Mi siwazi hata...

Huu mtindo wa kuanzisha ligi za kijinga si mzuri hasa huyo anayeita watu mbebez now kuna teknolojia ya Ku track IP address mi sasa hivi sijibishani na punguani akileta matusi tutamalizana kitaa...

sasa upunguani wangu uko wapi?kwani nimegusia masuala ya ligi?
 
sasa upunguani wangu uko wapi?kwani nimegusia masuala ya ligi?

usibishane na huyu 'mbebez' kwani ni form 4 failure!...infact ni zero brain katika kupambanua mambo!!...kwanza maskini pili elimu hakuna na tatu he'z genotypically 'shemale' with a maximum number of feminine genes!!...na ndiyo maana haeleweki!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…