mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Na wakifika DRC wanafukuzwa mbio na wanamgambo watoto waliojiami kwa mapanga.Jeshi liko imara... Imefanyiwa testing,, si kama ile ya display. Ati wanatuonyesha mtu amevaa miwani akiwa amekunja sura ati special force. Haha.. Hata mbuzi hukunja sura