Perspective, KDF soldiers in pictures, advanced military in EA

Jeshi liko imara... Imefanyiwa testing,, si kama ile ya display. Ati wanatuonyesha mtu amevaa miwani akiwa amekunja sura ati special force. Haha.. Hata mbuzi hukunja sura
Na wakifika DRC wanafukuzwa mbio na wanamgambo watoto waliojiami kwa mapanga.
 
Upumbavu wa waafrika huu¡! Jeshi lenu halina faida yoyote kwa wananchi wenu.
 
Kwa upande wa vifaa hongereni sana Kenya.

Tanzania tunapaswa kuiga wenzetu, kuliacha jeshi lijikite ktk mambo yake zaidi na sio kuliingiza ktk siasa. Ni aibu kubwa hata meli tunazotumia tumepewa msaada na china, ndege pia tumesaidiwa. Ifike kipindi na sisi pia tujitegemee na kununua vifaa bora.

Hata ajira ndani ya Jeshi letu zinapaswa kutolewa kwa kutazama utayari wa mtu na profession za watu. Tuache mambo ya kuajiri watu walosoma, sehemu hii hata jeshi la polisi linahusika pia.
 
KDF has leant some very tough lessons from the mission in somalia,
if Kenya's military apparatus never challenged itself beyond the usual peace keeping missions pre-2011 we would have been stuck thinking that things were fine ...
Now we can see extreme differences on how they function over time
Going through Somali forums recently they keep talking like KDF has annexed part of somalias territory-where clans cooperating with kdf are said to hiding behind Kenya's military ,They have this line of "wait till your Kenyan bantu masters leave"
 
Kenya inapaswa kuwa inatuma ilo chapisho la Majeshi yetu kwa ikulu ya rais Tanzania kila mwezi. Nadhani magufooli anaitamani sana.
 
Je tanzania ivi wana navy? Sijawahi skia na sisemi zile mashua za waarabu wa pemba.
 
Hicho ni kifaa cha thermal imaging.
hawa jamaa wana ushamba mwingi... ukivaa night vision mchana haoni kitu, even a regular folk hawezi fanya hivyo... most google siku hizi ni multipurpose, ziko na low light vivion setting kutumia asubuhi au jioni jioni, kuna infrared setting ambayo unatumia mchana ili kutofautisha miti na watu , alafu bado iko na thermal setting ya kuona hata haka adu amejificha nyuma ya mti...
 
Toa upuuzi hapa huna unalolijua zaidi ya kueleza mambo ambayo huyajui.
 
Tangu lini wewe ukawa msemaji kwa niaba ya jwtz? Kuna mambo msioyajua ni vema kunyamaza.
Nakubali kunyamaza kwa mambo ninayoyajua ndani ya hiko chombo, tuna jeshi zuri ila hatuna silaha za kisasa kama unavyotetea point zako ila hili jambo la kununua silaha za kisasa limeshaleta mambo mengi sana ndani ya hiki chombo na mpaka serikalini. Narudia tena, kwa upande wa kuwa na silaha za kisasa, jeshi letu bado sana. Nakutakia asubuhi njema.
 
Nawe pia
 
Sisi Wabongo hatuongea sana kama ninyi, lakini Watu wenye akili duniani acha waongee na Wanasema Tanzania is the only African country in the list of top 35 world's most elite military teams. Angalia chini hapo, sisi ni namba 27 in the world, ninyi sijawaona pamoja na kelele zenu zote.

These are the world’s most elite military teams. They’re highly trained, best equipped and well-prepared fighting units specializing in surgical military operations, from ending a hostage situation swiftly to stealthily eliminating top terrorists.

Yeah, pity the fools who get on the wrong side of any of these elite fighting forces.

1. US Navy SEAL



2. British SAS



3. Huntsmen Corps : Danish Special Forces



4. French Special Forces



5. Shayetet 13 (Israeli Special Forces)



6. Irish army rangers



7. Australian SASR



8. MARSOC



9. Canadian counter terrorist group JTF2



10. Russian Special Forces: Spetsnaz



11. Dutch Special Forces



12. SBS



13. Delta Force



14. Belgian Special Forces Group




23. U.S. Special Forces



24. Indonesian Special Forces Command



25. Romanian Special Forces



26. Serbian Gendarmerie



27. Tanzanian Special Forces In Congo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…