Tanzanians are very ignorant on what kdf is doing in somalia,kdf used to bury truck loads of al shabaab in mass graves,how many susprise attacks hav kdf repulsed,many indeedView attachment 795186 View attachment 795187 View attachment 795188 View attachment 795189 View attachment 795190
He even inspected a guard of honor by the US military
Hapa DRC sisi TPDF tunakuwa ambushed na child soldiers waliojiami na mapanga na kututwanga...Mungu tuhurumie jeshi letu.
Ha ha ha ha ha najua kuna ambao hawajakuelewaSitaki kuamini kuwa jamaa kavaa NVG hizoView attachment 791295
Sitaki kuamini kuwa jamaa kavaa NVG hizoView attachment 791295
Pozi la pcha [emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaha tena mchana.....si ana ua macho
Nani ka kwambia kwamba kdf hawana ujasiri?..ama wa maanisha ujasiri kama ule wa majimaji rebellion?Hawa si ndio wale waiba chocolate pale westgate na mikaa huko somalia?wasingeingilia kati israel sijui kama angetoka mtu pale westgate.Vita sio kuwa na vifaa,vita ni ujasiri wa kupambana kwanza ndio vifaa vinafuata.
Hata Kama ni photo op. Kwa pro anavaa Ila anazinyanyua juuPozi la pcha [emoji3][emoji3][emoji3]
Eti enheeee Basi Sawa. Kumbe thermal imaging kit ndo iko hivohio ni thermal imaging... inakuona hata kama umejificha
Hata Kwa ajili ya camera. Pro driver hawezi piga picha yuko siti ya abiria. The same applies Kwa Professional Hunter. Tena I bet my two cents hao ni Elite group ndo wanaweza kuwa na gear Kama hizo. So how come Elite of elites anakua Kama amateurFor cameras mkuu, alipitiwa.
ExactlyMiscalculations are everywhere in the militaries around the world but that doesn't mean the army is weak.No army is always 100% successful in all its operations .It all depends on different situations at the moment .for instance there is a situation where terrorists in Russia held hostage children in a school for days but doesn't mean weak military .Challenges are always there to make us learn and grow
Pale westgate ilikuwa miscalculation walipeleka kdf badala ya kupeleka recce squad ambao ndio wakotrained Ku deal na hostage situations in fact recce squad left the premises after one of them was allegedly shot by kdf fire.The situation at westgate is regrettable but we learnt some lessons the hardway .The recce company is very well trained for such situations
Sitaki kuamini kuwa jamaa kavaa NVG hizoView attachment 791295
we jamaa izi link zako ni za kitoto sana bahati mbaya tu huu UZI nimechelewa kuuona ila nchi nyingi za africa zina saidiwa zana za kivita na nchi kubwa hata hapo kenya kikosi cha Recc kinasaidiwa na SAS cha Uk na kile cha GSU MOSSAD wanawapa back up kubwa tu ya mafunzo pamoja na ukachero ushahidi upo kuna documentary mmoja ya aljazeera inaelezea kabisa tena mahojiano ya baadhi ya members wa ivyo vikosi wanasema kabisa MOSSAD wana wa train GSU na GSU na Recc ndio wali eliminate wale ma shekh wa mombasa sekh Goro na mwenzake yule sijui shekh utumbo gani sijui HUKO therefore vikosi vya afrika ivi kusaidiwa ni hakuepukiki ila sasa kushindwa kuvitumia izo zana ndio hasaraaaaaaaKwani mbeleni mlikuwa mmejiami kwa mapanga mlipovumburushwa na wanamgambo watoto waliokuwa na mapanga pia?
Britain aids Tanzania in toppling Amin
2008 invasion of Anjouan
Nionyeshe vita mlishinda wenyewe bila usaidizi wa nje.