yaap unawezaso mkuu PES 2017 ndo itafaa na je naweza kuweka patch za 2019/2020?
yaap unaweza
PES2017 SmokePatch17
SmokePatch Football Life: Download the latest version and mods for PC. updated rosters and content, enhanced graphics, and simulation gameplay.www.pessmokepatch.com
mkuu sijaelewa kitu hapa, inamaana hizi part zote 10 natakiwa download na kuziinstal kwenye fail la game?yaap unaweza
PES2017 SmokePatch17
SmokePatch Football Life: Download the latest version and mods for PC. updated rosters and content, enhanced graphics, and simulation gameplay.www.pessmokepatch.com
ndio mkuumkuu sijaelewa kitu hapa, inamaana hizi part zote 10 natakiwa download na kuziinstal kwenye fail la game?View attachment 1249082
Pad ipi unatumia?
Umeweka driver zake?
kwa fifa controller huwa zinasetiwa ndani ukishafungua game.
Huenda hujaseti kutumia log.
Nipe spacification za pc yako pls.
Processor
Ram
Gpu
Aaah yaani unabakia kwenye training?View attachment 1276303
Sidhani kama specs ni tatizo maana game inafunguka fresh kbs ila naishia mpk kwny zile drill nacheza hata mara 10 haiji option ya kwenda kwny mechi
Aaah yaani unabakia kwenye training?
Ivo kufungua origin kumbe bongo inawezekana???mbona Mimi yangu inakataa!!!Kama mtu anajiweza FIFA 19 andondoshe ORIGIN ID yake hapa tukipige live..only PC (Origin)View attachment 1264239
Chief-Mkwawa hii imekaaje?View attachment 1276303
Sidhani kama specs ni tatizo maana game inafunguka fresh kbs ila naishia mpk kwny zile drill nacheza hata mara 10 haiji option ya kwenda kwny mechi
Chief-Mkwawa hii imekaaje?
Crack hazijatoka labda ununue.
Inavyoonekana mkuu kuna timu zina glitch, jaribu kubadili timu tofauti tofauti.Mm nmeweka fifa 19 leo lkn nakwama kwny drill kabla ya kuanza mechi naishia kufanya drill mechi haianzi