Ukiwa na pc ya
Core i5/i7 7gn
Ram 8gb
Gtx 1050 au rx570
Nafikiri game zote utacheza.
Huwezi, Gpu hapo huna mkuu.Habari wakuu...naomba msaada kufahamu kama PC yenye specification hizi inaweza kurun Fifa 19 hata kwa low settings... Core i5 processor 2.6, GPU Intel 2GB. HDD 500GB.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kuna uwezekano wa kuongezea GPU uwezo? Kama vile tunavyobadilisha RAM na HDD?Huwezi, Gpu hapo huna mkuu.
Kwa desktop unaweza unanunua tu gpu kama hiiHivi kuna uwezekano wa kuongezea GPU uwezo? Kama vile tunavyobadilisha RAM na HDD?
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! ni laptop Mkuu...kwahiyo hapo FIFA latest itakayocheza kwenye GPU yangu kwa low settings ni FIFA mwaka gani? Fifa 2017 inaweza ikakubal?Kwa desktop unaweza unanunua tu gpu kama hiiView attachment 1455225
Ila kwa laptop hapo ni ngumuView attachment 1455228
Fifa 14 labda na fifa 15.Duh! ni laptop Mkuu...kwahiyo hapo FIFA latest itakayocheza kwenye GPU yangu kwa low settings ni FIFA mwaka gani? Fifa 2017 inaweza ikakubal?
Sent using Jamii Forums mobile app
Du inabidi kupata internal cracker kutoka Ea and konamiNaona fifa20 na pes2020 rasmi zimeshashindikana kucrakiwa.
Ngoja tuone fifa21 na pes2021 itakuwaje.
Naomba link ya pess 2019 for android mkuu.Naona fifa20 na pes2020 rasmi zimeshashindikana kucrakiwa.
Ngoja tuone fifa21 na pes2021 itakuwaje.
PES 2020 ina bypass toka zamani sana.Naona fifa20 na pes2020 rasmi zimeshashindikana kucrakiwa.
Ngoja tuone fifa21 na pes2021 itakuwaje.
tupe link na ss mkuuPES 2020 ina bypass toka zamani sana.
PES 2021 ime-crack-iwa takriban mwezi na nusu sasa watu tunavunja padi tu Mkuu wangu
Kama mdau alivyosema hapo juu Pes ilikuwa na bypass, sometime hao cracker wakiona hivyo wanapotezea nao. Pes 2021 imecrackiwa immediately ilivyotoka tu.Naona fifa20 na pes2020 rasmi zimeshashindikana kucrakiwa.
Ngoja tuone fifa21 na pes2021 itakuwaje.
nimecheza sana PES20 kuliko FIFA ila FIFA ni habari nyingine ile motion ya wachezaji inakulazimisha kujifunza mbinu mbalimbali kuendana na game husika....FIFA ipo juuKATI YA PES NA FIFA IPI NI GAME BORA YA MPILA
SAWA NNA DOWNLOAD FIFA MAANA NIMEONA GAMEPLAY NIMEIPENDA SANA 2021 SI AICHEZI NA MBnimecheza sana PES20 kuliko FIFA ila FIFA ni habari nyingine ile motion ya wachezaji inakulazimisha kujifunza mbinu mbalimbali kuendana na game husika....FIFA ipo juu