PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

PES & FIFA PC Games thread (Uzi kwa wapenda game za mpira kwenye PC)

Jaribu kucheki hapa


Wakati unaplay unabonyeza ps button kuna menu inatokea ku assign player 1 ni yupi na 2 ni yupi
Mimi shida sio steam ni kwanza isomwe na pc ndio kipengeke kinaanza yaani pad inakuwa haiwi connected. Wakati ilitakiwa zote ziwe zimeunganishwa. Sasa taa ya bt inabaki kublink tu. Na kule tayari iko paired.


Yaani ni kama inataka pad isome moja tu. Nikisha konect moja ile nyingine inabaki kusearch tu hivyo nikifanya kwa nyingine.

Naunganisha ya kwanza inakubali nikiwasha ya pili inakataa kuunganika na pc. Au huwezi kuunganisha pad zaidi ya moja kwa bt?
 
Mimi shida sio steam ni kwanza isomwe na pc ndio kipengeke kinaanza yaani pad inakuwa haiwi connected. Wakati ilitakiwa zote ziwe zimeunganishwa. Sasa taa ya bt inabaki kublink tu. Na kule tayari iko paired.


Yaani ni kama inataka pad isome moja tu. Nikisha konect moja ile nyingine inabaki kusearch tu hivyo nikifanya kwa nyingine.

Naunganisha ya kwanza inakubali nikiwasha ya pili inakataa kuunganika na pc. Au huwezi kuunganisha pad zaidi ya moja kwa bt?
Bluetooth inakubali vifaa vingi kwa wakati mmoja unless
1. Una Bluetooth ya kizamani chini ya Bluetooth 4, ila ikiwa 4 kupanda inaconect

2. Una vifaa vingi sana vipo connected, Mouse, speaker, keyboard etc.

Jaribu na hio Ds4windows ili ujue tatizo ni pc ama steam.
 
Mimi shida sio steam ni kwanza isomwe na pc ndio kipengeke kinaanza yaani pad inakuwa haiwi connected. Wakati ilitakiwa zote ziwe zimeunganishwa. Sasa taa ya bt inabaki kublink tu. Na kule tayari iko paired.


Yaani ni kama inataka pad isome moja tu. Nikisha konect moja ile nyingine inabaki kusearch tu hivyo nikifanya kwa nyingine.

Naunganisha ya kwanza inakubali nikiwasha ya pili inakataa kuunganika na pc. Au huwezi kuunganisha pad zaidi ya moja kwa bt?
Kama ni steam nenda sehemu ya controller then add controller , ambayo umeichomeka itakuwa detected
 
Na Mimi mnisaidie game lolote la fifa hata 2014 na mortal combat nicheze kwenye PC ya Dell core i5 E5430
 
Natumia Dell E5430 Core i5

Ram 4


Naweza play fifa 2015 or 2016 mara ya mwisho iliplay 2012

Kama una game ya fifa 2014-2015

Mortal Kombat

Tuwasiliane nipo Mombasa(gongo la mboto)

0627796644
 
Bluetooth inakubali vifaa vingi kwa wakati mmoja unless
1. Una Bluetooth ya kizamani chini ya Bluetooth 4, ila ikiwa 4 kupanda inaconect

2. Una vifaa vingi sana vipo connected, Mouse, speaker, keyboard etc.

Jaribu na hio Ds4windows ili ujue tatizo ni pc ama steam.
Nimejaribu asubuhi hii naona zimekubali sasa.


🙏
 
Natumia Dell E5430 Core i5

Ram 4


Naweza play fifa 2015 or 2016 mara ya mwisho iliplay 2012

Kama una game ya fifa 2014-2015

Mortal Kombat

Tuwasiliane nipo Mombasa(gongo la mboto)

0627796644
Fifa 14 lina gb 4 tu nadhani unaweza kukomaa ukalishusha.

But njia rahisi kuna wanaouza tayari wameshalifanyia na update ya vikosi na jezi.

Kuna jamaa yuko pale mawasiliano unaweza mcheki ukaenda chukua ni 5000 tu anafanya.
 
Bluetooth inakubali vifaa vingi kwa wakati mmoja unless
1. Una Bluetooth ya kizamani chini ya Bluetooth 4, ila ikiwa 4 kupanda inaconect

2. Una vifaa vingi sana vipo connected, Mouse, speaker, keyboard etc.

Jaribu na hio Ds4windows ili ujue tatizo ni pc ama steam.
Halafu mkuu kwangu uncharted lost legacy limegoma kabisa kufunguka...

Mwanzo lilikuwa linafunguka ila game lilikuwa linacrush likianza tu kuplay pale sokoni...

Now halifunguki kàbisa ishu yaweza kuwa nini? Na halileti error yoyote.
 
Halafu mkuu kwangu uncharted lost legacy limegoma kabisa kufunguka...

Mwanzo lilikuwa linafunguka ila game lilikuwa linacrush likianza tu kuplay pale sokoni...

Now halifunguki kàbisa ishu yaweza kuwa nini? Na halileti error yoyote.
Ni la kununua ama hizi za kuchakachua? Angalia kama defender haijakula kitu. Pia sometime kunakua na log file ambalo linarecord tatizo.

Pia naona wadau online wanasema kuna mafile tofauti tofauti ya kufungulia hilo game, maybe jaribu kwenda kwenye folder la game ijaribu exe nyengine.
 
Ni la kununua ama hizi za kuchakachua? Angalia kama defender haijakula kitu. Pia sometime kunakua na log file ambalo linarecord tatizo.

Pia naona wadau online wanasema kuna mafile tofauti tofauti ya kufungulia hilo game, maybe jaribu kwenda kwenye folder la game ijaribu exe nyengine.
Ni crack nilichukua kwa hawa wanaouza. Defender nimeizima kabisa kwenye pc yangu.
 
Fifa 14 lina gb 4 tu nadhani unaweza kukomaa ukalishusha.

But njia rahisi kuna wanaouza tayari wameshalifanyia na update ya vikosi na jezi.

Kuna jamaa yuko pale mawasiliano unaweza mcheki ukaenda chukua ni 5000 tu anafanya.
Hapa gongo la mboto hawapo kweli
 
Wakuu mambo vipi


Nahilitaji fifa 23 for PC, niko mwanza kwa leo na kesho asubuhi sana
 
Mimi natumia FIFA 14 ambayo imekua modded hadi FIFA 2020. Nataka nifanye mchakato wa kuimod iwe 23
 
Natumia Dell E5430 Core i5

Ram 4


Naweza play fifa 2015 or 2016 mara ya mwisho iliplay 2012

Kama una game ya fifa 2014-2015

Mortal Kombat

Tuwasiliane nipo Mombasa(gongo la mboto)

0627796644
Fifa 15 nalo ni zito kidogo , mana ndo game la kwanza kuwa na graphic nzito,
 
Mimi natumia FIFA 14 ambayo imekua modded hadi FIFA 2020. Nataka nifanye mchakato wa kuimod iwe 23
Mod nzuri na kamilifu ni fifa infinity (fip ) by hallybuz, ila uki update inachukua mpaka 64GB ni kubwa sana, angekuwa weka na stadium update labda ingefuka 100gb
 
Back
Top Bottom