Pesa huhamisha milima, triple 7 yafikia tamati viunga vya Kawe Avocado

Pesa huhamisha milima, triple 7 yafikia tamati viunga vya Kawe Avocado

unakumbuka awamu ile matajiri walivyokuwa wanaishi kama mashetani? ..bado hamjasema., yaani mpaka msemee!
Kwamba mashetani wamekuwa malaika na malaika tumekuwa mashetani 😂 😂 Sema malaika wetu mkuu tutamkumbuka sana, huyu malaika alietuachia hatumsomi.. yeye yuko huko anawaongoza malaika wa mbinguni kama alivyosema..😅
 
Back
Top Bottom