Pesa ina uhai na hupenda kuheshimiwa, wahenga walisema

Daisy Llilies

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
1,017
Reaction score
2,158
Ukipata pesa iheshimu, si kwakua una mamlaka nayo basi uitumie unavyotaka, hapana. Kabla hujatumia pesa jiulize
  • Kwa nini?
  • Nani?
  • Wapi?
  • Wakati gani?
Ukishapata majibu yapime yakileta maana ndiyo utumie pesa. Pesa ina uhai na inaona matumizi. Kama matumizi yako ya pesa ni mabaya inakimbia bila kukuaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…