Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,158
Ukipata pesa iheshimu, si kwakua una mamlaka nayo basi uitumie unavyotaka, hapana. Kabla hujatumia pesa jiulize
- Kwa nini?
- Nani?
- Wapi?
- Wakati gani?