Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wamesitisha makato kutoka kwa waBunge wao?Hawa ombaomba kila siku wanaomba tuu, wenzao akina gwajima, mc pilipili nk wanaomba Kila jumapili.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Ila hili zoezi sio la kufanywa na mwenyekiti wa Chama taifa.Ila ndio hivyo, ukisikia pesa inatafutwa. Hapa Wananchi hawana Maisha magumu tena
View attachment 2181714
View attachment 2181715
View attachment 2181716
View attachment 2181717
Mwenyekiti yuko kwa ajili yakusocialize na wananchi.is that bad?Ila hili zoezi sio la kufanywa na mwenyekiti wa Chama taifa.
The bad thing is him acting like a treasurer of the party.Mwenyekiti yuko kwa ajili yakusocialize na wananchi.is that bad?
Wa kuwapa "kula" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mchango wa nini huo?
Wa kuwapa "kula" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hashim rungwe anajitegemea huyu ombaomba sijui ana matatizo gani.Naona mkuu wa TRA ameamua kuingia mtaani mwenyewe