mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Kudadeki utakuta mda huo amevaa taulo,vest na kitambi kimetokeza kama mpoki.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesa kidogo tu ukijenga kamsingi au kanyumba kila ukiamuka asubuhi na mswaki wako unaanza kukakagua,utazan umejenga flyover
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utawasikia dah kitambo sana man,si unajua kichwa kina mambo mengi.Pesa kidogo ila kila ukikutana na jamaa zako njiani unajifanya umewasahau na majina huwajui!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]utawasikia dah huku hakuna konekshen kabisa na mzunguko wa hela hakuna.Pesa kidogo kila ukienda Kijijini kwenu unawauliza vijana "Hivi huku mnaishije?"
Haha, hawajui bila baraka za mwenye pumzi/Mungu hakuna mafanikio yoyote yale mbali na bidii tutumiazo kila siku ktk utafutaji riziki, lkn bila Mungu ni sawa na kutwanga maji tu kwenye kinu.[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hii ndio imezagaa sana,utawasikia"Tatizo vijana hawajitumi wanafikiri sisi tuliofanikiwa tumepata kiurahisi tu kumbe tulikuwa hatulali tunafocus kwenye future plans ndio ikaleta results"
Haha, hawajui bila baraka za mwenye pumzi/Mungu hakuna mafanikio yoyote yale mbali na bidii tutumiazo kila siku ktk utafutaji riziki, lkn bila Mungu ni sawa na kutwanga maji tu kwenye kinu.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Pesa kidogo tu ushaanza kugoogle madhara ya UGALI
atabadili na jinsia yake kabisaKupewa nafasi tu ya kugombea jimbo la kawe na jina umebadili (Chidi Gwaji)...Ukipewa nafasi ya kugombea uraisi si utabadili jina la nchi.
Unaona huyu binti anavyomuonea dada yakoPesa kidogo umenunua uzi
[emoji16][emoji16][emoji16] Numby kupiga mswaki ni pesa au usafiPesa kidogo tu ushaanza kupiga mswaki mara nne kwa siku
Pesa kidogo tu unasema laki si pesa
Hahaha lol ngoja nikipata pesa na mimi nianzepesa kidogo tuu ukiombwa namba unatoa bussinesscard