pecial JF-Expert Member Joined Apr 4, 2017 Posts 734 Reaction score 555 Jun 12, 2020 #1 Jamani nimetumiwa pesa kutoka Kenya kwa kutumia Safaricom kuja kwa M-Pesa yaani kwenye namba yangu ya Voda ila ni nusu saa sasa haijafika. Kwa wale mliowahi tumiwa pesa kwa safaricom hebu nisaidieni uzoefu, huwa inachukua muda gani kupata pesa?
Jamani nimetumiwa pesa kutoka Kenya kwa kutumia Safaricom kuja kwa M-Pesa yaani kwenye namba yangu ya Voda ila ni nusu saa sasa haijafika. Kwa wale mliowahi tumiwa pesa kwa safaricom hebu nisaidieni uzoefu, huwa inachukua muda gani kupata pesa?
Babkey JF-Expert Member Joined Dec 10, 2010 Posts 4,836 Reaction score 3,659 Jun 12, 2020 #2 Ishaingia hiyo.... Cheki salio au tuma pesa kwa mtu.
Nafaka JF-Expert Member Joined Feb 17, 2015 Posts 12,154 Reaction score 31,246 Jun 12, 2020 #3 Mbona ni right away mimi kila jumatano nahamishaga ela safaricom to mpesa
L Lihove2 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2018 Posts 3,545 Reaction score 6,512 Jun 12, 2020 #4 Muulize mtumaji alitumajetumaje?sometimes inasumbuaga
pecial JF-Expert Member Joined Apr 4, 2017 Posts 734 Reaction score 555 Jun 12, 2020 Thread starter #5 Babkey said: Ishaingia hiyo.... Cheki salio au tuma pesa kwa mtu. Click to expand... Nimecheki salio bado haijafika
Babkey said: Ishaingia hiyo.... Cheki salio au tuma pesa kwa mtu. Click to expand... Nimecheki salio bado haijafika
pecial JF-Expert Member Joined Apr 4, 2017 Posts 734 Reaction score 555 Jun 12, 2020 Thread starter #6 Lihove2 said: Muulize mtumaji alitumajetumaje?sometimes inasumbuaga Click to expand... Ametuma kutoka kwenye account yake ya safari com kuja kwa mpesa yangu na amenitumia screen shot pesa kwake inaonekana imeshatoka.
Lihove2 said: Muulize mtumaji alitumajetumaje?sometimes inasumbuaga Click to expand... Ametuma kutoka kwenye account yake ya safari com kuja kwa mpesa yangu na amenitumia screen shot pesa kwake inaonekana imeshatoka.