Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
Ile kauli ya kusema pesa ndo kila kitu hakika wahenga hawakukosea kwani hili jambo kwenye siasa zetu za bongo limekuwa na nafasi kubwa mno
Viongozi na makada mbalimbali huingia sana katika huu mtego wa pesa na hapa ndipo unapokuja kugundua kuwa hakuna mapenzi ya dhati kwa watu ila ni tamaa za pesa na madaraka ndizo zinaendesha tamaa za watu
Umefika na umekaribia ule muda ambao nguvu ya pesa itatumika kuliko nguvu ya maono katika ujenzi wa taifa letu
Tubaki kusema kuwa wanasiasa sio watu wakuaamini sana kwani siasa ni kazi na siku zote kazi huwa ina malipo na malipo yake ni pesa na ndomana tunasema siasa ni mtaji
Vijana tuepuke kufuata mkumbo na upepo wa vitu au jambo fulani
Viongozi na makada mbalimbali huingia sana katika huu mtego wa pesa na hapa ndipo unapokuja kugundua kuwa hakuna mapenzi ya dhati kwa watu ila ni tamaa za pesa na madaraka ndizo zinaendesha tamaa za watu
Umefika na umekaribia ule muda ambao nguvu ya pesa itatumika kuliko nguvu ya maono katika ujenzi wa taifa letu
Tubaki kusema kuwa wanasiasa sio watu wakuaamini sana kwani siasa ni kazi na siku zote kazi huwa ina malipo na malipo yake ni pesa na ndomana tunasema siasa ni mtaji
Vijana tuepuke kufuata mkumbo na upepo wa vitu au jambo fulani