Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

Hahahaha bahati mbaya sipo Buguruni malapa kwa leo, nipo zangu Wales nasubiria jioni kupelekea Cardiff nione Buffon anavyobeba ndoo. Njoo next week end nitakuwepo Buguruni uwe na hela hela kweli .Mashine siyo issue sana kwangu hata kama ina inchi 1.
Buffon akiibeba inabidi astaafu maana sasa anacheza na wajukuu. Ila nina mashaka kama kweli atafanikiwa kuibeba mbele ya miamba yenyewe. Any way ngoja nianze kukusanya faida za miradi ukija unakunwa vizuri na kuogeshwa kwa hela. Yan utaogeshwa kwa hela mpaka TLS wakafungue madai mahakamani kukutaka uondolewe huo usafi
 
Buffon akiibeba inabidi astaafu maana sasa anacheza na wajukuu. Ila nina mashaka kama kweli atafanikiwa kuibeba mbele ya miamba yenyewe. Any way ngoja nianze kukusanya faida za miradi ukija unakunwa vizuri na kuogeshwa kwa hela. Yan utaogeshwa kwa hela mpaka TLS wakafungue madai mahakamani kukutaka uondolewe huo usafi
Hahahaha kwa usawa huu wa JPM?Vijisenti vya kumwaga hivyo utavitoa wapi Yahe
 
Katika vitu ambavyo nilishavikataa maishani mwangu ni kujua "Mwanamke anataka nini"
 
Kwanini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.

Mwanaume mashine bhana. Sifa ya mwanaume mashine.
Mwanamke kama ni mgawaji mama huruma huwezi kumzuia hata mwanaume awe na medani ya dhahabu ya kugongana. Umayala ni hulka tu ya mtu na si wanawake wote wapo hivyo. Kama wewe ni cha wote hongera sana kwa kupigizwa daily
 
uzuri wa Aliyetuumba alituumba kwa namna ya pekee sana, dhana ya mapenzi Mungu aliiweka katika dhima ya msaidizi wa kufanana nae. unaweza kumpata mwenye hiyo mashine na pesa pia lakini kama si msaidizi wa kufanana na wewe bado hautaridhika tu. halafu mleta uzi inakupasa ufahamu kuwa wanawake mnatofautiana katika namna mnavyofika kilele sio wote mnaexperience vaginal orgasm wengine wanapata clitrolis orgasm pekee na pia sio wote mnapata wet orgasm wengine wana experience dry orgasm. alituumba ila hakutupa maungo yanayofanana ili kila mtu awe na mwanamke wa namna yake, wapo wanawake mwanaume mwenye uume mkubwa kwake si furaha bali tabu, kero na maumivu so hafurahi tendo, wapo wanawake mwanaume anayechelewa kukojoa ni kero,tabu na wala hafurahii tendo and the viceversa. halafu kwa afya ya mwili na akili sex si jambo la kila siku ila pesa ni muhimu sana kwa maisha baada ya kitandani. so hoja ya mleta mada is subjective ingekuwa ni general na objective basi maisha yasingesonga maana hatuwezi kuwa sawa wote.
 
Sina nilicho ingiza hapa watu wako bz na mashine pesa the kazi hawana
 
Kwanini siku hizi wanaume wamechukulia pesa ndiyo kila kitu kwenye mahusiano? Kuna kitu wanaume wanasahau pesa siyo kila kitu hata uwe na pesa vipi ukashindwa kumkuna mpenzio hujafanya kitu na kwa hizo pesa zako mwanamke atatoka nje na kumhonga mwanaume mwenzio ili amridhishe kitandani amkune kisawasawa.

Mwanaume mashine bhana. Sifa ya mwanaume mashine.
Duuh
 
Back
Top Bottom