Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Owkey that's great love...
Maswali gani love mzio hata sikumbuki ebu nikumbushe..!
Umekurupuka hujaelewa mtoa mada anachomaanishaaa
Kabisa mkuuHakuna siku hata moja ambayo wanawake wameeleweka kuwa wanataka nini.
Kibamia ndo kinakuwajePesa ni chachandu tuu kwenye mapenzi ..ila uwe na pesa uwe mbovu kitandani na kibamia chako wallah utagongewa sana
Mpenzi wako ni mchagga au mpare . . ?Mi nilivyopata kazi mpz wangu aliongeza mawivu na mashauzi yaliisha kabisa
sasa ulitaka uzijue wewe kwani weye mwanamke? nauliza tu.Kuna wanawake hawaeleweki wanahitaji nini...ukiwapa hela kesho yake wanataka Mashine..duuuh akili zao wanazijua wenyewe
[emoji57] [emoji57]Jovitha;
Kama akipita mtu hapa akasoma michango yetu, weye na mimi aliye kurupuka bila kuelewa kinachoelezwa hapo ni nani?? Tuseme, mchango wako umenisaidia nini sasa?? Si ungelinielewesha basi??
Nakusubiria chumbani baby.[emoji57] [emoji57]
[emoji57] [emoji57]
Sina shida ya kumpenda sina mda na wazo pia sinaUsiipende mipesa Jovitha, penda mtu alivyo, upungufu wake mtaurekebisha. Kwa mautundu hata kibamia kinakupa mtoto