Pesa si kila kitu mwanaume mashine jamani

Umekurupuka hujaelewa mtoa mada anachomaanishaaa

Jovitha;
Kama akipita mtu hapa akasoma michango yetu, weye na mimi aliye kurupuka bila kuelewa kinachoelezwa hapo ni nani?? Tuseme, mchango wako umenisaidia nini sasa?? Si ungelinielewesha basi??
 
ni kwel kabisa..nlmtokea dem mwanzon alkataa na kudai nna sura mbaya..alporogwa kunipa game mambo yamebadlka..kila cku anataka na haachi musema ananipenda tukiwa faragha..mwanaume si pesa tu ..karagabao!!
 
Kuna wanawake hawaeleweki wanahitaji nini...ukiwapa hela kesho yake wanataka Mashine..duuuh akili zao wanazijua wenyewe
sasa ulitaka uzijue wewe kwani weye mwanamke? nauliza tu.

teh teh
 
Jovitha;
Kama akipita mtu hapa akasoma michango yetu, weye na mimi aliye kurupuka bila kuelewa kinachoelezwa hapo ni nani?? Tuseme, mchango wako umenisaidia nini sasa?? Si ungelinielewesha basi??
[emoji57] [emoji57]
 
Usiipende mipesa Jovitha, penda mtu alivyo, upungufu wake mtaurekebisha. Kwa mautundu hata kibamia kinakupa mtoto
Sina shida ya kumpenda sina mda na wazo pia sina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…