Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Pesa x wamekuwa wanabambikia watu madeni hovyo hovyo huku wakitishia kuwatangaza waliotishiwa mitandaoni waziri wa fedha aziangalie hizi kampuni ni sumu kwenye uchumi wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ya deni ni kulipa! Kila siku mnaambiwa muwe mnasoma masharti na vigezo ya hayo makampuni….! Hao wamesajiliwa ! Kwa hiyo kama unaona wanakunyonya usikope wewe kopa bankPesa x wamekuwa wanabambikia watu madeni hovyo hovyo huku wakitishia kuwatangaza waliotishiwa mitandaoni waziri wa fedha aziangalie hizi kampuni ni sumu kwenye uchumi wa nchi
Ofisi zao ziko wapi TRA tukawatembeleeDawa ya deni ni kulipa! Kila siku mnaambiwa muwe mnasoma masharti na vigezo ya hayo makampuni….! Hao wamesajiliwa ! Kwa hiyo kama unaona wanakunyonya usikope wewe kopa bank
Wakati unakubali kuchukua mkopo unakuwa umekatwa kichwa?Hawa wanakosha 10,000 wanakudai 20,000 ndani ya siku 6 , mi nashangaa BOT wako wapi ??
Ujambazi huu wa wazi kabisaWakati unakubali kuchukua mkopo unakuwa umekatwa kichwa?
Wakati mnakopa mbona ham kuulizia ofisi zao zilipoOfisi zao ziko wapi TRA tukawatembelee
mnao toa maoni mfano kama wewe nahisi ndio nyie wafanyakazi pesa x na wapiga simuDawa ya deni ni kulipa! Kila siku mnaambiwa muwe mnasoma masharti na vigezo ya hayo makampuni….! Hao wamesajiliwa ! Kwa hiyo kama unaona wanakunyonya usikope wewe kopa bank
Sawa ila jibu swali sasa, wakati wa kukopa hua mnakuwa mmekatwa kichwa?Ujambazi huu wa wazi kabisa
Kwani ni usishangae hao ambao Bado wanakopa huko?Hawa wanakosha 10,000 wanakudai 20,000 ndani ya siku 6 , mi nashangaa BOT wako wapi ??
Nyie ndio wafanya kazi wa pesa x mnawapigia debe kuku mitandaoni dawa ya deni ni kuwalipa nini majambazi nyieDawa ya deni ni kulipa mkuu
Dawa ya deni ni kulipa! Kila siku mnaambiwa muwe mnasoma masharti na vigezo ya hayo makampuni….! Hao wamesajiliwa ! Kwa hiyo kama unaona wanakunyonya usikope wewe kopa bank