BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Wale wanao milki migahawa njiani huwalipa Madreva pesa ya Breki, maana yake Dereva akiingiza Basi pale hata nusu ya abilia wasipo kula yeye pesa yake iko pale pale na kumbuka kuna abiria wagumu ana shuka anaenda washroom akitoka hapo anarudi kwenye basi hanunui kitu na pia kuna abiria wana safari na vyakula vyao na pia wapo wao wananunua soda tu na biskuti.
Sasa inaonekana pesa ya Break inakatwa kwenye chakula ndio maana unaweza uziwa chai ya rangi sh 10000/ ukauziwa wali magaragwe sh 4000/ na wali nyama finyango 3 sh 7000/.
Ushauri ni kwamba LATRA walazimishe mabasi yakiingia stend kubwa yasimame pale nusu saa abiria wakale jirani na stendi hapo, make Dereva anacho fanya ni kuuza abiria kwa wenye migahawa na kuna competition kubwa sana.
Ushauri mwingine ni abiria wabebe Lunch Box zao, kwa chakula cha safarini haina haja kubebana na Wali, bali vyakula vikavu, kama nyama na pia mikate na matunda inatosha kabisa.
Kubeba chakula chako mwenyewe ni njia nzuri sana kwa sababu hasa ya quality, na hata hio migahawa pamoja na kuuza chakula ghari bado quality ni changamoto kubwa sana kwao.
Nakumbuka kuna wakati nilipanda basi kutokea Moshi kwenda Dar tumefika Korogwe abiria waligoma kushuka Liverpol pale enzi zile na Dereva saaa kwa kuwakomoa alipiga gia hadi Dar.
Sasa inaonekana pesa ya Break inakatwa kwenye chakula ndio maana unaweza uziwa chai ya rangi sh 10000/ ukauziwa wali magaragwe sh 4000/ na wali nyama finyango 3 sh 7000/.
Ushauri ni kwamba LATRA walazimishe mabasi yakiingia stend kubwa yasimame pale nusu saa abiria wakale jirani na stendi hapo, make Dereva anacho fanya ni kuuza abiria kwa wenye migahawa na kuna competition kubwa sana.
Ushauri mwingine ni abiria wabebe Lunch Box zao, kwa chakula cha safarini haina haja kubebana na Wali, bali vyakula vikavu, kama nyama na pia mikate na matunda inatosha kabisa.
Kubeba chakula chako mwenyewe ni njia nzuri sana kwa sababu hasa ya quality, na hata hio migahawa pamoja na kuuza chakula ghari bado quality ni changamoto kubwa sana kwao.
Nakumbuka kuna wakati nilipanda basi kutokea Moshi kwenda Dar tumefika Korogwe abiria waligoma kushuka Liverpol pale enzi zile na Dereva saaa kwa kuwakomoa alipiga gia hadi Dar.