Pesa ya goli la Mama, haongezi hamasa yoyote tusiwe wanafiki

Pesa ya goli la Mama, haongezi hamasa yoyote tusiwe wanafiki

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Rais wetu amekuwa akimwaga mapesa kwenye mipira, ati anaweka hamasa.

Lakini kimsingi hakuna hamasa yoyote anayoweka zaidi ya hizo timu kufanya siasa na unafiki

Yaani Aziz ki anavuta million 40+ Kwa mwezi, Ateba anavuta million 30+, waanze kugombania million 10 ambayo itagawanywa Kwa wachezaji zaidi ya 40 kutia ndani bench la ufundi

Hao wachezaji wana mishahara minono wala hawahitaji hizo fedha

Ingekuwa busara zaidi Rais wetu akawapa hizo pesa Watanganyika wenye uhitaji hata na million 2 tu.

Kuna shule hazina madawati, hospitali hazina madawa, barabara hamna, hospital watu wanakufa Kwa huduma duni za afya.

Kariakoo watu wamekufa wanajiona Kwa kukosa vifaa vya uokoaji

Watanganyika hawapati Milo mitatu

Hivi hizo million 700 angegawa Kwa makundi ya vijana wakajiajiri kwenye kilimo kipindi hili cha masika ingemlipa zaidi

Rais usiweke tena hayo mamilion kwenye mipira
 
Rais wetu amekuwa akimwaga mapesa kwenye mipira, ati anaweka hamasa.

Lakini kimsingi hakuna hamasa yoyote anayoweka zaidi ya hizo timu kufanya siasa na unafiki

Yaani Aziz ki anavuta million 40+ Kwa mwezi, Ateba anavuta million 30+, waanze kugombania million 10 ambayo itagawanywa Kwa wachezaji zaidi ya 40 kutia ndani bench la ufundi

Hao wachezaji wana mishahara minono wala hawahitaji hizo fedha

Ingekuwa busara zaidi Rais wetu akawapa hizo pesa Watanganyika wenye uhitaji hata na million 2 tu.

Kuna shule hazina madawati, hospitali hazina madawa, barabara hamna, hospital watu wanakufa Kwa huduma duni za afya.

Kariakoo watu wamekufa wanajiona Kwa kukosa vifaa vya uokoaji

Watanganyika hawapati Milo mitatu

Hivi hizo million 700 angegawa Kwa makundi ya vijana wakajiajiri kwenye kilimo kipindi hili cha masika ingemlipa zaidi

Rais usiweke tena hayo mamilion kwenye mipira
Tuwaulize wachezaji
 
Back
Top Bottom