martial jb
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 863
- 1,462
Mkuu USD billion 44 zinunue kampuni ya thamani ya USD billion 346???
Ulilikimbia umande??
asset zote za bilionea mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg
Aliko Dangote
ImepukutikaView attachment 2402066
Recently value
Imepukutika
Hata Mark alikua na 100B sasa imeshuka mpaka 71B na inaendelea kushuka
Mo Dewji
Nani alikwambi mark ana hiyo worth$44bln =101 trillion tsh
mark anacheza kwenye $80bln,achana na thamani ya Meta technically haiwezekani.
ila kwa hawa Mo,aliko na wenzake,tuache hizi story maana anaweza akaanza kuwapanga awanunue.
Kampuni gani hiyo kiongoziMkuu USD billion 44 zinunue kampuni ya thamani ya USD billion 346???
Ulilikimbia umande??
Huwa si-quote trash/takataka kama hz lkn ngoja leo iwe exception.Habari wakuu,
Je, wajua pesa aliyoitumia bilionea elon musk kununua twitter $44B inaweza ikanunua asset zote za bilionea mwanzilishi wa Facebook Mark Zuckerberg ikiwemo mitandao yake ya Facebook, instagram, whatsapp, meta platform na hata yeye mwenyewe!!???
Je, unajua pesa hiyo inauwezo wa kununua assets zote kwa pamoja za mabilionea Aliko Dangote, Mo Dewji, Bakhresa, GSM na Mengi. Na kuwaacha hawana kitu kabisa kama mimi!!??? [emoji16][emoji16][emoji16]
Hii ndio nguvu ya Pesa ya mtaalamu Elon Musk, ambaye unaweza mchukilia kawaida ila kiukweli si binadamu wa kawaida huyu mwamba.
Tutafute hela.
Unapiga mkwara mbuzi halafu unaandika "faeces"Huwa si-quote trash/takataka....
Ww unajua market cap ya meta? Meta juzi at closing ilikua na market cap ya Million 368.05 USD. Twitter imenunuliwa kwa million 44....
Twitter imenunuliwa kwa $44B, sio millionHuwa si-quote trash/takataka kama hz lkn ngoja leo iwe exception.
Ww unajua market cap ya meta? Meta juzi at closing ilikua na market cap ya Million 368.05 USD. Twitter imenunuliwa kwa million 44, sasa unakuja kuongea au kuharisha hapa.
Na unasema hio hela imnunue mark zuck, hv unajua thaman ya kucha yake ni zaidi ya thamani ya trashes kama ww hapo?
Watu mnaingiza ushabiki wa kipuuzi kwenye issue za maana, inachukiza sana.
Siku nikiinunua JF nafuta kabisa ID zote za 2021 na 2022 ni zimejaza upuuzi mtupu. Hawana la maana la kuongea humu ni kuandika takataka tu
Unapiga mkwara mbuzi halafu unaandika "faeces"
TYPING ERROR HIO NA Market Cap ya meta sio hizo million nlizoandika hapo ni Billions.Twitter imenunuliwa kwa $44B, sio million