Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hellow
Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up hela ya pichu anaomba hayo sio maisha tafuta pesa yako atakama mumeo au mtu wako ataki ufanye kazi force mtu sio wakumuekea garantee kuna kufa kuna kuachwa mwanamke unaachwa up hela ya nauli ya kurudi kwenu huna unakopa kopa ni aibu tafuta pesa
Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up hela ya pichu anaomba hayo sio maisha tafuta pesa yako atakama mumeo au mtu wako ataki ufanye kazi force mtu sio wakumuekea garantee kuna kufa kuna kuachwa mwanamke unaachwa up hela ya nauli ya kurudi kwenu huna unakopa kopa ni aibu tafuta pesa