Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Hapanaaa mm situmii vyuma chakavu kashazalishwa watoto 3Kwa hili jibu "yeye ni bogas" inaonekana muda si mrefu utaamka naye kitanda kimoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapanaaa mm situmii vyuma chakavu kashazalishwa watoto 3Kwa hili jibu "yeye ni bogas" inaonekana muda si mrefu utaamka naye kitanda kimoja.
Nisamehe m ni mropokaji😂😂💔Maswala ya vochabyamefikaje hapa ety bibie
Kumbe na ww ni mmoja wao?Eateli na tigo 😂😂💔
Duh haifai iyo mbaya itakuchafua ahahahaNisamehe m ni mropokaji😂😂💔
😂😂😂Tena sana mkuu duh acha tu pesa inatutoa utu wet
Aiseeeeh ! Watoto wa 3 kuna shida? Utamu upo kijana.Hapanaaa mm situmii vyuma chakavu kashazalishwa watoto 3
Akuu💔😅ni meropoka tuKumbe na ww ni mmoja wao?
Mbna sijakujibu nyodo😂😂😂
Nakaa kimya Mkuu ila nimejifunza kitu hata kama nayo leo punguza dharau na nyodo kesho huijui itakuwaje.
Naacha 😂💔Duh haifai iyo mbaya itakuchafua ahahaha
NdioAiseeeeh ! Watoto wa 3 kuna shida? Utamu upo kijana.
Hao watoto 3 ni mwanaume mmoja ?huyo aliyemtimua?
Sawa bhnaAkuu💔😅ni meropoka tu
Wewe sijui upo dunia gani kwa sasa hadi wapo wanaume wanaomba pesa hiyo ndiyo mbaya zaidi bora mwanamke ..kwanza akili zao ni ndogo hivyo siyo mbaya wao kuomba pesa.Hellow
Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up hela ya pichu anaomba hayo sio maisha tafuta pesa yako atakama mumeo au mtu wako ataki ufanye kazi force mtu sio wakumuekea garantee kuna kufa kuna kuachwa mwanamke unaachwa up hela ya nauli ya kurudi kwenu huna unakopa kopa ni aibu tafuta pesa
Mtaje🤪Kuna dada nimepata story yake hapa dah nimesikitika sana kaka
Sijamaanisha hivyo kuna mdau humu alikuwa ana nyodo na kuponda sana watu na kuwaona ambao hawana hela ni Wazembe na hawana akili lakini sasa hivi yupo juu ya mawe anaomba 5k mpaka unamuonea huruma aiseeMbna sijakujibu nyodo
Kausha wewe 😂😂😂Mtaje🤪
Duh maisha hayana mwenyeweSijamaanisha hivyo kuna mdau humu alikuwa ana nyodo na kuponda sana watu na kuwaona ambao hawana hela ni Wazembe na hawana akili lakini sasa hivi yupo juu ya mawe anaomba 5k mpaka unamuonea huruma aisee
Muache tu hapumzikeMtaje🤪
Watafute piawaache tu waombe hela ndo sheria hiyo
wewe unatakiwa ugawe hela ndo sheria hiyo
Sawa sawa kiongoziHakikisha upati usingiz mChama