Pesa ya kuomba sio mzuri tafuta pesa

Wewe sijui upo dunia gani kwa sasa hadi wapo wanaume wanaomba pesa hiyo ndiyo mbaya zaidi bora mwanamke ..kwanza akili zao ni ndogo hivyo siyo mbaya wao kuomba pesa.
 
Sijamaanisha hivyo kuna mdau humu alikuwa ana nyodo na kuponda sana watu na kuwaona ambao hawana hela ni Wazembe na hawana akili lakini sasa hivi yupo juu ya mawe anaomba 5k mpaka unamuonea huruma aisee
Duh maisha hayana mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…