RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]N kama wanaume wengine wanavogombania vocha ...both team to score [emoji23][emoji174]
Uvivu Wa Baadhi Ya Wanawake Wa Kibongo Ni Wa Kiwango Cha Laki Imefikia Wakati Hata Kuingia Mahusiano Kigezo Kimekuwa Kuhudumiwa, Shame 🚮Hellow
Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up hela ya pichu anaomba hayo sio maisha tafuta pesa yako atakama mumeo au mtu wako ataki ufanye kazi force mtu sio wakumuekea garantee kuna kufa kuna kuachwa mwanamke unaachwa up hela ya nauli ya kurudi kwenu huna unakopa kopa ni aibu tafuta pesa
Mwanamke up.....Bado Ujasemq toa hela na tunampango wa kuweka kiingilio cha mahusiano.Hellow
Huwa kuna mda naumia sana nikiona mwanamke up now anategemea kuomba pesa kutoka kwa bwana wake au mtu yoyote kama upo hai tafuta pesa yako pesa ya kuomba inamasimango unakuta mwanamke up hela ya pichu anaomba hayo sio maisha tafuta pesa yako atakama mumeo au mtu wako ataki ufanye kazi force mtu sio wakumuekea garantee kuna kufa kuna kuachwa mwanamke unaachwa up hela ya nauli ya kurudi kwenu huna unakopa kopa ni aibu tafuta pesa
Wataingia wangapi hapoMwanamke up.....Bado Ujasemq toa hela na tunampango wa kuweka kiingilio cha mahusiano.
Wao wanakwambia mwanaume kuhudumia.
Acha aendelee kusagika huyo mdada
Wao hua wanajua sisi hela hatuna shida nazo
Walikuelewa?
BoraSanaaa