Pesa ya tuzo ya mchezaji bora wa mechi South Africa ni sawa na hela ngapi ya kwetu hii? Tuna safari ndefu

Pesa ya tuzo ya mchezaji bora wa mechi South Africa ni sawa na hela ngapi ya kwetu hii? Tuna safari ndefu

hujanielewa mkuu, South Africa investment kwenye Ligi ni kubwa sana ukilinganisha na Bongo, Ila viwango vya ubora wa ligi vinalingana. Hata rank za CAF ukitizama utajionea.
Mamelodi utamringanisha na timu gani hapa Tz
Wale wanamchezaji mpaka billion 7 mmoja tu huyo
Wakati uku 20billion ndio muwekezaji club


Mamelod katoa wachezaji nane first eleven timu ya taifa....timu gani imefanya hivo africa


Match zao zinaoneshwa superspot hapa bongo nani anaweza hayo

Timu zao CAF zinafika mbali sio km sisi
 
Mamelodi utamringanisha na timu gani hapa Tz
Wale wanamchezaji mpaka billion 7 mmoja tu huyo
Wakati uku 20billion ndio muwekezaji club


Mamelod katoa wachezaji nane first eleven timu ya taifa....timu gani imefanya hivo africa


Match zao zinaoneshwa superspot hapa bongo nani anaweza hayo

Timu zao CAF zinafika mbali sio km sisi
Kwa miaka hii mitano ya karibuni timu zao zimefika mbali wapi kwenye Cafcl na Caf confederation?
 
Kwa miaka hii mitano ya karibuni timu zao zimefika mbali wapi kwenye Cafcl na Caf confederation?
Unamjua mshindi wa super league mwaka jana

Mwaka juzi kaizer chief alifika wap
Mwaka ulioguatia unajua mamelodi alifika wap

Yaan sisi na south wametuacha mbali kabisa wenzetu wanapeleka direct mcheza mpaka Epl sisi ushaona tunafanya hivyo?
 
Mamelodi utamringanisha na timu gani hapa Tz
Wale wanamchezaji mpaka billion 7 mmoja tu huyo
Wakati uku 20billion ndio muwekezaji club


Mamelod katoa wachezaji nane first eleven timu ya taifa....timu gani imefanya hivo africa


Match zao zinaoneshwa superspot hapa bongo nani anaweza hayo

Timu zao CAF zinafika mbali sio km sisi

umenichekesha sana mkuu, Sasa kuonyeshwa SuperSports ndio nini?
Mimi nimezungumzia Ligi wewe umeleta story za Mamelody, Nenda katizame rank za CAF uone utofauti wa Ligi ya Bongo na South ni mwembamba sana, licha ya kuwa uekezaji nani ya south ni mkubwa sana.
 
umenichekesha sana mkuu, Sasa kuonyeshwa SuperSports ndio nini?
Mimi nimezungumzia Ligi wewe umeleta story za Mamelody, Nenda katizame rank za CAF uone utofauti wa Ligi ya Bongo na South ni mwembamba sana, licha ya kuwa uekezaji nani ya south ni mkubwa sana.
Mkuu samahani, naomba kujua hiyo rank ya CAF inawekwa in terms of percentage or number? Na vp ujawahi kuona namba 3 anamzidi bamba 5 kwa asilimia 50?
 
umenichekesha sana mkuu, Sasa kuonyeshwa SuperSports ndio nini?
Mimi nimezungumzia Ligi wewe umeleta story za Mamelody, Nenda katizame rank za CAF uone utofauti wa Ligi ya Bongo na South ni mwembamba sana, licha ya kuwa uekezaji nani ya south ni mkubwa sana.
mbna jana wametoa na south wapo juu yetu kwann mbishi .....uko chini unaforce ulingane na wajuu


South africa ligi yao ya 4 kwa ubora ...na sisi wa 7

Kwanzia mvuto mpaka uwekezaji sisi hatuwakuti

Ndio maana sisi vilabu kwenda kuweka kambi south kawaida sana ila ushawai sikia wenyewe wamekuja kuweka kambi uku?
 
Back
Top Bottom