Pesa za biashara kuchukuliwa zote kwenye droo ya kuhifadhia pesa kimazingira

Pesa za biashara kuchukuliwa zote kwenye droo ya kuhifadhia pesa kimazingira

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Habari wakuu

Mimi nimfanya biashara wa duka la rejareja kwa muda mrefu ila ndani ya mwezii kinamatukio matatu yametokea yameniweka mdomo WAZI pesa za mauzo zinapotea zote kimazingira

Tukio la kwanza kwenye Droo kumeondoka ela ya mauzo elf 11 baadae ya KUUZA mara ya pili elf 15 Hadi naleta uzi huu leo mbichi kumeondoka elf 28 msaada wakuu hili linaweza kuwa kopera?
 
Habari wakuu

Mm nimfanya biashara wa DUKA la rejareja kwa MUDA mrefu ila NDANI ya mwezii kinamatukio matatu yametokea yameniweka mdomo WAZI pesa za mauzo zinapotea zote kimazingira

Tukio la kwanza kwenye Droo kumeondoka ela ya mauzo elf 11 baadae ya KUUZA mara ya pili elf 15 Hadi naleta uziii HUU leo mbichi kumeondoka elf 28 msaada wakuu hili linaweza kuwa kopera?
Huna mifuko ya suruali!?
 
Habari wakuu

Mm nimfanya biashara wa DUKA la rejareja kwa MUDA mrefu ila NDANI ya mwezii kinamatukio matatu yametokea yameniweka mdomo WAZI pesa za mauzo zinapotea zote kimazingira

Tukio la kwanza kwenye Droo kumeondoka ela ya mauzo elf 11 baadae ya KUUZA mara ya pili elf 15 Hadi naleta uziii HUU leo mbichi kumeondoka elf 28 msaada wakuu hili linaweza kuwa kopera?
Jihadhari na wale panya wenye midomo mirefu wanambinu za kichina.
 
chuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.
 
chuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.
Inatoshaa
 
+255789130836
mtaalam wa hizi kazi yupo koromije mwanza.

fanya kumuuliza tu hata kama huhitaji huduma.

Screenshot_20241007-183030.jpg
 
Back
Top Bottom