Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Emu kuwa seriousKwenye droo weka meno ya nguruwe na mkaa pia duka safisha kwa maji ya chumvi ya mawe kila asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emu kuwa seriousKwenye droo weka meno ya nguruwe na mkaa pia duka safisha kwa maji ya chumvi ya mawe kila asubuhi
Hakuna cha njia za gizaNjia za Giza Biashara ipo nyumbani na nakaa mm ma Wife tu
Hakuna uchawi. Hivyo hakuna namna hela zinaweza kupotea ki abracadabraMkuu amini Ivo siwezii kuja kuleta chai hapa
Dah!chuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.
Mtu mwenywe anajiita "team 666"Hahaaa kumbuka vizuri bana. Hebu eleza mtiririko mzima wa biashara yako kwanza isijekuwa kuna maaganonumeingia halafu unakuja kuzuga huku.
Ninachojua chumaulete wabachukua asilimia tuu na sio mzigo wote... Hebu acheki humo ndani kama hakuna panyaPole sana
Mtumishi hii ni nini inamtokea? Mshana Jr
Hili la pesa za mauzo kuondoka sote limenitafakarishaNyumbani kwa wazee uliaga? Kama bado rudi haraka miji ya watu mizito. Brother Mshana Jr ushauri na nasaha zako zinahitajika hapa.
ninganye ili iweje au nipate nini ni ukweli na imemtokea dada angu kabisaAcha uongo
Wife anakupigaNjia za Giza Biashara ipo nyumbani na nakaa mm ma Wife tu
Ndio amalize hela yoteOngeza umakini kwenye kutoa chenji.. Ukiwa umechoka funga biashara maana uchovu/stress huweza kupelekea kukosea kutoa chenji sahihi..
mkuu limeninyima usingizii now DUKANI nakava mwenyewe sitakiii aingie mtu mwengineNinachojua chumaulete wabachukua asilimia tuu na sio mzigo wote... Hebu acheki humo ndani kama hakuna panya
Hili la pesa za mauzo kuondoka sote limenitafakarisha