michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
Umeambiwa pesa zote za mauzo zinapotea, kama nimeelewa vema.Ongeza umakini kwenye kutoa chenji.. Ukiwa umechoka funga biashara maana uchovu/stress huweza kupelekea kukosea kutoa chenji sahihi..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa pesa zote za mauzo zinapotea, kama nimeelewa vema.Ongeza umakini kwenye kutoa chenji.. Ukiwa umechoka funga biashara maana uchovu/stress huweza kupelekea kukosea kutoa chenji sahihi..
Dadeki watu wanapiga pesa kiulaini san.. yaan kauzi tuchuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.
Sawa... Jitahidi kuleta mrejeshoNishemtuma kijana kuchukua leo hii hii naweka
Sawa weka mzigo huo kulingana na maelekezoCha arushaaa Iko hapo mkuu nakitupia kwenye Droo
Imagine kipindi cha korona shule zote zimefungwa, vyuo vimefungwa biashara hazilipi then unapigwa Pesa yote hyo duh!!!! Inakata sanaPole sana mkuu
Kiukwel matukio kama haya yanarudisha NYUMA Hali ya kupambana inahitaji moyo mgumu kurudi kwenye mstarii
Uko mji ganiHabari wakuu
Mimi nimfanya biashara wa duka la rejareja kwa muda mrefu ila ndani ya mwezii kinamatukio matatu yametokea yameniweka mdomo WAZI pesa za mauzo zinapotea zote kimazingira
Tukio la kwanza kwenye Droo kumeondoka ela ya mauzo elf 11 baadae ya KUUZA mara ya pili elf 15 Hadi naleta uzi huu leo mbichi kumeondoka elf 28 msaada wakuu hili linaweza kuwa kopera?
Hahaaa kumbuka vizuri bana. Hebu eleza mtiririko mzima wa biashara yako kwanza isijekuwa kuna maaganonumeingia halafu unakuja kuzuga huku.Habari wakuu
Mimi nimfanya biashara wa duka la rejareja kwa muda mrefu ila ndani ya mwezii kinamatukio matatu yametokea yameniweka mdomo WAZI pesa za mauzo zinapotea zote kimazingira
Tukio la kwanza kwenye Droo kumeondoka ela ya mauzo elf 11 baadae ya KUUZA mara ya pili elf 15 Hadi naleta uzi huu leo mbichi kumeondoka elf 28 msaada wakuu hili linaweza kuwa kopera?
Kukosea kutoa chenji 28000 hadi draw inakauka?Ongeza umakini kwenye kutoa chenji.. Ukiwa umechoka funga biashara maana uchovu/stress huweza kupelekea kukosea kutoa chenji sahihi..
Acha uongochuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.
Shida ipo hapa afu anakuja kusingizia wachawi wawatuOngeza umakini kwenye kutoa chenji.. Ukiwa umechoka funga biashara maana uchovu/stress huweza kupelekea kukosea kutoa chenji sahihi..
chuma ulete mkuu
kuna kastory kafupi dada yangu kama miezi miwili hivi imepita kahamia mitaa ya manzese baresa sasa siku ya kwanza kaamka anafanya usafi sebuleni akaokota elfu 30 akaificha akijua shemeji ndo kaidondosha, siku ya pili akaokota tena elfu 30 na siku ya tatu vile vile akaogopa akaamua kumwambia mume wake. siku ya nne akaokota tena hali hiyo ikaenda mpaka siku saba yaani wiki kila siku wanaokota elfu 30 eneo lile lile. baada ya wiki wakasikia hodi mzee kumbe ndo alikuwa mpangaji kabla ya wao kuingia akawaambia kuwa kuna mzigo wake aliusahau amekuja kuuchukua wao kwa haraka wakajua zile hela wakataka kumpa hela akakataa akawaambia wamruhusu aingie ndani achukue mzigo wake. waka mruhusu kumbe kuna sehemu aliweka ka kamba keusi kanining'inia akakachukua akawashukuru na pesa akawaachia. toka hapo hawakuokota tena pesa. uchawi hupo jamani tumwombe sana Mungu.