Pesa za biashara kuchukuliwa zote kwenye droo ya kuhifadhia pesa kimazingira

Dadeki watu wanapiga pesa kiulaini san.. yaan kauzi tu
 
Pole sana mkuu

Kiukwel matukio kama haya yanarudisha NYUMA Hali ya kupambana inahitaji moyo mgumu kurudi kwenye mstarii
Imagine kipindi cha korona shule zote zimefungwa, vyuo vimefungwa biashara hazilipi then unapigwa Pesa yote hyo duh!!!! Inakata sana
 
Uko mji gani
 
Hahaaa kumbuka vizuri bana. Hebu eleza mtiririko mzima wa biashara yako kwanza isijekuwa kuna maaganonumeingia halafu unakuja kuzuga huku.
 
Acha uongo
 

Mkuu
fanya unipe connection ya huyo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…