Pesa za kichawi na kishirikina (Ndagu n.k)

Pesa za kichawi na kishirikina (Ndagu n.k)

kwa sisi wachimbaji visa ni vingi sana tumefanya na kuviona but ela za manyau ni kama unakunywa maji unaweza upate m15 na isimalize miezi 3.
 
Najua wewe mwanajamii mwenzangu ushawahi kusimuliwa ama kusikia kuhusu fedha hizo, au mtu mwenye nazo, au uko nazo basi huu ni uzi wa kushare nasi visa hivyo.
mimi niliwahi kusikia tajiri mmoja hivi huwa analala chini, na ana noti ya tsh elfu kumi ambayo haitumiagi miaka nenda rudi ndo inayomlindia pesa zake.
mwingine huwa anaoza ndo pesa zinaingia,wengine ati wana vidonda visivyo pona kadri vinavyooza ndo pesa zinaingia.....and so many blah blah blah.....
karibu share nasi.
Naomba kwanza mnipe connection nijaribu me mwenyew halafu nilete mrejesho, ctaki vya kusimuliwa mimi natak nione me mwenyew.
 
Kuna mwengine tupo nae kitaa kila mwaka anafumua nyumba anajenga upya.
 
kwa sisi wachimbaji visa ni vingi sana tumefanya na kuviona but ela za manyau ni kama unakunywa maji unaweza upate m15 na isimalize miezi 3.
poleni mkuu, changamoto hizo za utafutaji...ingawa huwa siamini hizo mbanga mpaka siku nitashuhudia
 
Naomba kwanza mnipe connection nijaribu me mwenyew halafu nilete mrejesho, ctaki vya kusimuliwa mimi natak nione me mwenyew.
nimeomba sana connection za hizo pesa sijapewa so acha nibaki na myths tuuu....mimi ni tomaso kama wewe
 
Tulienda sumbawanga kwa mzee fulani kwa ajili ya dawa ya machimbo...aisee kabla ya kuongea chochote mzee akatuambia kila kitu tulicho fuata hadi gari tulilopanda na akatuambia tusipande tena lile gari muda wa kurudi...nilicho jiuliza mzee anakaa sumbawanga ndani ndani kabisa lakina alijuaje hadi magari mapya ya mbeya to chunya.
 
kwa sisi wachimbaji visa ni vingi sana tumefanya na kuviona but ela za manyau ni kama unakunywa maji unaweza upate m15 na isimalize miezi 3.
Nilishashudia mtu kauza ML zake, 3 billions hapo ni 2016. Nimekuja kumuona last year may akaniomba buku 5,

Nikakumbuka enzi hiyo anapesa za madini 100,000 ilikuwa ni hela ya maji ya kunywa.
 
hizo hela za kiphaller sana... bora ujichange mia mbili mbili zako daily kwa kile ulichopangiwa na Muumba wako kuliko huu upuuzi mtu unamilik utajiri wa bilions of fckn shillings then chakula chako kikuu ni tikiti na uji... 😂 😂 au upo rafu kama wapiga debe wa morombo... 🚮🚮😂upuuzi mtupu....
 
Tulienda sumbawanga kwa mzee fulani kwa ajili ya dawa ya machimbo...aisee kabla ya kuongea chochote mzee akatuambia kila kitu tulicho fuata hadi gari tulilopanda na akatuambia tusipande tena lile gari muda wa kurudi...nilicho jiuliza mzee anakaa sumbawanga ndani ndani kabisa lakina alijuaje hadi magari mapya ya mbeya to chunya.

Nmbie huyo mzee anitwa nani na yupo kijiji gan ili namim niende maana nipo sumbawanga hapa
 
Back
Top Bottom