Pesa za nchi zinachapishwa wapi?

Pesa za nchi zinachapishwa wapi?

NAKEMBETWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2012
Posts
3,517
Reaction score
3,135
Wataalamu hivi pesa za nchi mfano Shilingi yetu huchapishwa nchi gani

au ni kampuni gani wanahusika na kuchapisha fedha za mataifa mbalimbali?
 
Viwanda vingi vya pesa viko ujerumani lakini siku hizi mchina anateka soko kwa Kasi kubwa

ni kwel kabisa mkuu Ujerumani wanawatengenezea fedha nchi zaid ya 60 ikiwamo Tanzania na Gesecke&Devrient company ndo watengenezaji wakubwa wa fedha hata ukiangalia containers za fedha zetu znapokuja bandarini (ticts) document zake ni port of loading ni Leipzig Germany port of discharge ni dsm Tanzania bt Swiss mara nying ndo wanafanya design ya fedha za nchi nying dunian
 
Sisi tuliokua zamani zilikuwa zikichapishwa peramiho songea...
 
kama mchina kaanza kutengeneza na pesa bc kaz ipo

Alitengeneza mabilioni feki ya dola mpaka Ikabidi mmarekani abadili pesa zake kwenye baadhi ya alama na kuongeza alama nyingine za Siri ili kumdhibiti mchina ndio maana mara nyingi dola za 2004 kushuka chini hazikubaliki sehemu nyingi
 
Alitengeneza mabilioni feki ya dola mpaka Ikabidi mmarekani abadili pesa zake kwenye baadhi ya alama na kuongeza alama nyingine za Siri ili kumdhibiti mchina ndio maana mara nyingi dola za 2004 kushuka chini hazikubaliki sehemu nyingi

Ala! ndo maana zangu ziligomewa 2004 nauliza sababu bank teller anaishia kucheka cheka tu
 
Alitengeneza mabilioni feki ya dola mpaka Ikabidi mmarekani abadili pesa zake kwenye baadhi ya alama na kuongeza alama nyingine za Siri ili kumdhibiti mchina ndio maana mara nyingi dola za 2004 kushuka chini hazikubaliki sehemu nyingi

Mkuu nikisikia habari kama hizi kuhusu wachina huwa nacheka sana, jamaa wako vizuri kwenye kuchakachua.
 
Ala! ndo maana zangu ziligomewa 2004 nauliza sababu bank teller anaishia kucheka cheka tu

dola zote ambazo zimepita miaka 10 toka mda zilizotengenezwa huwa zinatolewa kwenye mzunguko wa fedha za marekani ndo maana kuanzia dola za mwaka 2004 kushuka hawakubali myb kdg za 2005 nazo ni kubaatisha wanaweza wasikuchenjie bt kuanzia 2006 kuja juu wanakuchejia bila ya tatizo lolote
 
Back
Top Bottom