Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Rais anatangaza kuunda serikali yake upya, halafu baadaye anakwenda Davos, anakwenda Dakar, anazitafuta pesa za plea bargaining.
Mpaka unafikiria labda Rais amekumbana na kigingi katika mpango wake wa kuifumua serikali.
Mpaka unafikiria labda Rais amekumbana na kigingi katika mpango wake wa kuifumua serikali.